Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJANA WA JOGGING WASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA

Keki maalumu kwa Kikundi cha Mji Mwema Jogging. Mshauri wa Mgambo na Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke, Luteni Kanali, Juma Sigambena akitoa vyeti.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Twende Sawa: EFM yazindua shehere za kutimiza mwaka mmoja tangu ianze kwenda hewani

Kituo cha radio EFM kimezindua sherehe za maadhimisho ya kutimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake tarehe 2/4/2014. Mkurugenzi wa mawasiliano EFM, Dennis Ssebo (kulia) akiwa na mkuu wa vipindi EFM, Dickson Ponela Sherehe hiyo imepewa jina la ‘Twende Sawa’ kama njia ya kuwashukuru wasikilizaji kwa kwenda sawa tangu kuwashwa kwa mitambo ya EFM. Akizungumza na […]

 

11 years ago

Michuzi

KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ

Baadhi ya wana Bongo Dansi wakiwa katika picha ya pamoja na bendi ya vijana jazz wakati wa kusherehekea mwaka mmoja wa kundi hilo tangia lianzishwe kwenye mtandao wa kijamii wa facebook ambapo kundi hilo mpaka sasa lina wanachama 3,086 mashabiki wa bendi mbalimbali wa muziki wa dansi nchini. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wa Kawe washiriki Jogging

*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja

*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya

*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura

*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.

8

 Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.

 Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.

 Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.

 

10 years ago

CloudsFM

Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja

Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wameongoza makundi ya vijana kutoka Shirikisho la Vyuo Vikuu pamoja na Machinga wa mjini Mwanza kukimbia mchakamchaka (jogging) kwa umbali wa zaidi ya kilometa 2,kuanzia Barabara ya Stesheni,kupitia barabara ya Posta,Kenyatta, Karuta,Lumumba maeneo ya Soko Kuu mpaka Stendi ya zamani Tanganyika.
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...

 

9 years ago

Habarileo

Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi

WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.

 

10 years ago

Michuzi

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO

Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

GPL

NJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2

MUNGU ni mwema maishani mwangu, hakika namshukuru kwa kila kitu akitendacho kwangu. Ahsante baba. Tunaendelea na mada yetu tuliyoanza nayo wiki iliyopita. Ni mada ambayo hakika imegusa wengi. Nimekuwa nikipokea simu mfululizo kutoka kwa wasomaji wakipongeza na kutaka kujifunza mengi. Kuna tuliobadilishana nao mawazo, nashukuru kuona kuwa mada iliwagusa. Ni kweli. Lazima kuwepo na nguvu au sababu inayokusukuma au kukushawishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani