Vijana wa Kawe washiriki Jogging
*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja
*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya
*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kmi5BVm44q0/VWsTWtuOD3I/AAAAAAAAcnw/d61LlVmQYcY/s640/1.jpg)
Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kin94seZRig/VWsTmLY4q8I/AAAAAAAAcpA/ONZu_QlhYoU/s640/2.jpg)
Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ALaPZwn5VwY/VWsTno9JZmI/AAAAAAAAcpI/tHFINoBav4Q/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqFdlpmRyKI/VWsTuTlroYI/AAAAAAAAcpw/MOgUjLplDWE/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B_dMKmeTf18/VWsTv3oKemI/AAAAAAAAcp4/RzzzBRIhPjw/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQkoRW0XlSo/VWsTwBeGnSI/AAAAAAAAcqY/9v5lpMSKJM8/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5xA6dGzIJR8/VWsTXaIzlUI/AAAAAAAAcn4/tilxCsy6ivM/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkziF0sLmSw/VWsTcsICvQI/AAAAAAAAcoA/a5E0d2oDVMY/s640/13.jpg)
Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GmFjitxKDdQ/VWsTcVntgqI/AAAAAAAAcoE/z8ynax2r1-k/s640/15.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Gabriel Munasa aweka nia kwa staili ya Jogging Ubunge Kawe
Gabriel Munasa (mwenye kofia) akiongoza vijana wa Kawe kukimbia mchaka mchaka (Jogging) ikiwa sehemu ya kuwakutanisha wananchi pamoja ambapo pia alitumia fursa hiyo kuweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe na kama litagawanywa atagombea Bunju.
Gabriel Munasa akishiriki mazoezi ya viungo kwenye viwanja vya Kawe baada ya kumaliza jogging yenye lengo la kuwakutanisha vijana pamoja,kuwahamasisha kujiandikisha kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,kuhamasisha vijana kujiunga...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s72-c/MD1.jpg)
Wadau wa Vijana washiriki mdahala katika Wiki ya Vijana mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s1600/MD1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5vnfj5OknuI/VDeSroczSnI/AAAAAAAGo8U/yiAZbNY1lg8/s1600/MD2.jpg)
9 years ago
Vijimambo13 Oct
VIJANA KUTOKA MIKOA MBALIMBALI WASHIRIKI MDAHALO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA
![10](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/1021.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/2109.jpg)
10 years ago
GPLVIJANA WA JOGGING WASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA
9 years ago
GPL14 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s640/1.jpg)
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kinana ashiriki katika bonanza la vilabu vya Jogging mkoa wa Dar, vijana watakiwa kujiandikisha daftari la wapiga kura
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili kuhamasishwa vijana kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura . Mazoezi hayo yameanzia katika viwanja vya Gonga Gongo la Mboto kupitia Kipawa na kuishia kwenye uwanja wa Social Sitaki Shari Ukonga ujumbe mkuu wa Bonanza hilo ulikuwa ni kuwataka vijana kujitokeza kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1e3D-PXuHcw/U-s3JP0s24I/AAAAAAAF_Ik/ZDclGQfW0fs/s72-c/001.DANCE.jpg)
WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-1e3D-PXuHcw/U-s3JP0s24I/AAAAAAAF_Ik/ZDclGQfW0fs/s1600/001.DANCE.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FgjxZO6oAts/U8aFuiy1euI/AAAAAAAF2xg/cUyKqiv1SxM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Vijana wa Kiislam Wilayani Kilwa washiriki Mashindano ya Kusoma Quraan
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgjxZO6oAts/U8aFuiy1euI/AAAAAAAF2xg/cUyKqiv1SxM/s1600/unnamed+(8).jpg)
Viongozi wa Dini wilayani Kilwa mkoani Lindi wametakiwa kuhubiri Amani,umoja na mshikamano wanapokuwapo kwenye ibada zao ili kuliombea Taifa lisiingie kwenye vurugu zinazoweza kusababisha uvunjivu wa amani ya nchi Hususan katika mchakato wa katiba mpya
Akihutubia waislam walioshiriki katika shindano la kila mwaka la Usomaji wa Quran,Mkuu wa wilaya ya kilwa,Abdallah Ulega ameeleza kuwa viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika Kuelimisha na kukemea waumini...