Gabriel Munasa aweka nia kwa staili ya Jogging Ubunge Kawe
Gabriel Munasa (mwenye kofia) akiongoza vijana wa Kawe kukimbia mchaka mchaka (Jogging) ikiwa sehemu ya kuwakutanisha wananchi pamoja ambapo pia alitumia fursa hiyo kuweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe na kama litagawanywa atagombea Bunju.
Gabriel Munasa akishiriki mazoezi ya viungo kwenye viwanja vya Kawe baada ya kumaliza jogging yenye lengo la kuwakutanisha vijana pamoja,kuwahamasisha kujiandikisha kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,kuhamasisha vijana kujiunga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKADA WA CCM ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboMTANGAZA NIA YA UBUNGE JIMBO LA KAWE KUPITIA CCM, WAKILI ELIAS NAWERA AHIMIZA VIJANA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA
10 years ago
Dewji Blog31 May
Vijana wa Kawe washiriki Jogging
*Jogging zawaweka wananchi wa Kawe pamoja
*Watumia mazoezi kama njia ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya
*Kuhamasisha vijana wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
*Makundi zaidi ya 20 yashiriki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kmi5BVm44q0/VWsTWtuOD3I/AAAAAAAAcnw/d61LlVmQYcY/s640/1.jpg)
Vijana wa Kawe wakishiriki Jogging.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kin94seZRig/VWsTmLY4q8I/AAAAAAAAcpA/ONZu_QlhYoU/s640/2.jpg)
Gabriel Munasa (mwenye kaptura ya pink) akishiriki jogging pamoja na vijana wa Kawe,kushoto kwake ni Elias Nawera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ALaPZwn5VwY/VWsTno9JZmI/AAAAAAAAcpI/tHFINoBav4Q/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqFdlpmRyKI/VWsTuTlroYI/AAAAAAAAcpw/MOgUjLplDWE/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B_dMKmeTf18/VWsTv3oKemI/AAAAAAAAcp4/RzzzBRIhPjw/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQkoRW0XlSo/VWsTwBeGnSI/AAAAAAAAcqY/9v5lpMSKJM8/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5xA6dGzIJR8/VWsTXaIzlUI/AAAAAAAAcn4/tilxCsy6ivM/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkziF0sLmSw/VWsTcsICvQI/AAAAAAAAcoA/a5E0d2oDVMY/s640/13.jpg)
Bendera ya Taifa ikiwa juu kuashiria kuhitimisha kwa mchakamchaka huo ambao mgeni rasmi alikuwa Gabriel Munasa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GmFjitxKDdQ/VWsTcVntgqI/AAAAAAAAcoE/z8ynax2r1-k/s640/15.jpg)
10 years ago
GPLMTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s72-c/IMG-20150614-WA0018.jpg)
SEMINA YA WATIA NIA UBUNGE CHADEMA KANDA YA KATI YAFANYIKA DODOMA KWA MAFANIKIO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s1600/IMG-20150614-WA0018.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VtSHIpsXw-M/VX4oZs5CYyI/AAAAAAAASyk/cYDqG_AyI-c/s1600/IMG-20150614-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ws8WN6thS6o/VX4oZ-krO2I/AAAAAAAASyw/YrtJgtyONfQ/s1600/IMG-20150614-WA0024.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Frederick Fussi atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya Chadema
Mgombea ubunge jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo (CHADEMA), Frederick Fussi akisisitiza jambo katika mkutano wake na waandishi habari.
OFISA Mshauri wa masuala ya Uchumi, Biashara na Uongozi Frederick Fussi ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Songea Mjini kupitia Chama hicho huku akielezea vipao mbele ambavyo atavitekeleza endapo akipewa ridha kutoka kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Warioba ampigia debe mwanaye ubunge Kawe
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Lugola aweka rehani ubunge
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s72-c/IMG_0155.jpg)
Mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura ajitosa kuwania ubunge jimbo la kawe
![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s640/IMG_0155.jpg)
Mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura (pichani) jana ameahidi kufanya mapinduzi ya michezo katika jimbo la kawe ambao utakuwa ni mfano kwa maeneo mengine na taifa kwa ujumla.Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi, amesema endapo atapendekezwa na ccm kisha kuchaguliwa kuwa munge wa jimb hilo ataanza na michezo mitano ambayo ni soka, mpira wa kikapu,netiboli, wavu na...