Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEMC yafunga kiwanda cha kusindika punda Dom

BARAZA la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefungia na kukitoza faini ya Sh milioni 200 kiwanda cha kusindika nyama ya punda cha Huwacheng kilichopo katika Kata ya Kizota, mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NEMC IMEKIFUNGA KIWANDA CHA KUSINDIKA NYAMA YA PUNDA, DODOMA

Baraza la taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC) limekifungia kiwanda cha Huwa Cheng Company Limited kilichopo mjini Dodoma na kukitoza faini ya shilingi milioni 200 baada ya kubaini kiwanda hicho kinajihusisha na usindikaji wa nyama ya Punda kinyume na utamaduni wa watanzania huku mazingira yake yakiwa hatarishi kutokana na uchafu unaozalishwa kuzagaa kwenye makazi ya watu. Ni mabishano makali baina ya wamiliki wa kiwanda hiki...

 

10 years ago

Mwananchi

NEMC yafunga kiwanda Moro

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Shein: Mkinichagua nitajenga kiwanda cha kusindika samaki.

NA WAANDISHI WETU 21st September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein (pichani), ameahidi kuwa akichaguliwa serikali yake itajenga kiwanda cha kisasa cha kusindika samaki kwenye makopo […]

The post Shein: Mkinichagua nitajenga kiwanda cha kusindika samaki. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

StarTV

CCM ya ahidi kujenga kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi.

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi kujengwa kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi kwa wakulima wa mazao hayo akiwataka kufanya maamuzi ya kumchagua mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli ili aweze kukamilisha mpango huo.

Mgombea Mwenza huyo ambaye amemaliza ziara mkoani Ruvuma na kuelekea Pwani amesema hakuna sababu ya wakulima wa mazao hayo kuhangaikia soko wakati kuna uwezekano wa kuyafanya mazao hayo kuwa na thamani...

 

10 years ago

Habarileo

NEMC yafungia kiwanda cha nguo cha 21st Century

Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa NEMC, Dk Robert Ntakamulenga BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia kiwanda cha nguo cha 21st Century kilichopo eneo la Kihonda katika Manispaa ya Morogoro kufanya shughuli zozote za uzalishaji kuanzia jana, kutokana na kutiririsha maji taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira.

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki

makondaMAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.

Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.

Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafunga kiwanda cha chumvi Bagamoyo

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limefunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha kuzalisha chumvi cha mjini hapa, Sea Salt Limited kutokana na udanganyifu na uzalishaji wa chumvi chafu, yenye kiwango kidogo cha madini joto.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai

Baada ya kutangazwa kwamba Bumbuli itakuwa halmashauri inayojitegemea wananchi wengi walionekana kuwa na furaha wakiamini huenda hiyo ingesaidia kuharakisha maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani