TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AmUfdhdR4So/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Dec
TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya
Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
NHC yafunga kanisa Mbeya
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limelifunga Kanisa la Imani Isiyoshindwa la jijini Mbeya kwa madai ya kutolipa kodi ya pango. Kanisa hilo lilifungwa juzi, saa 6 mchana na maofisa...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG
Maduka ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi .
10 years ago
Mwananchi21 Feb
NEMC yafunga kiwanda Moro
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Simba yafunga rasmi usajili
Klabu ya Simba imeeleza kufunga rasmi usajili wake huku ikimleta kocha kutoka Uganda kusaidiana na kocha mkuu, Dylan Kerr.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania