Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya

Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yafunga balozi 9

Balozi 9 za nchi ya Somalia zimefungwa katika mataifa kadhaa ya ng'ambo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utaliana yafunga Ubalozi Libya

Ubalozi wa mwisho wa nchi ya Ulaya nchini Libya wafungwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHC yafunga kanisa Mbeya

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limelifunga Kanisa la Imani Isiyoshindwa la jijini Mbeya kwa madai ya kutolipa kodi ya pango. Kanisa hilo lilifungwa juzi, saa 6 mchana na maofisa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG

Maduka ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi .

 

10 years ago

Mwananchi

NEMC yafunga kiwanda Moro

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yafunga rasmi usajili

Klabu ya Simba imeeleza kufunga rasmi usajili wake huku ikimleta kocha kutoka Uganda kusaidiana na kocha mkuu, Dylan Kerr.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani