NHC yafunga kanisa Mbeya
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limelifunga Kanisa la Imani Isiyoshindwa la jijini Mbeya kwa madai ya kutolipa kodi ya pango. Kanisa hilo lilifungwa juzi, saa 6 mchana na maofisa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Dec
TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya
Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.
10 years ago
VijimamboMPANGAJI WA NHC MBEYA ATUPIWA VITU NJE
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA (NHC) LAKARABATI SHULE YA HASSANGA JIJINI MBEYA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zu6WODWXrQI/U5cwreJ8fJI/AAAAAAAFpks/VK1vm8UBDJo/s72-c/unnamed2.jpg)
NHC yasaini mkataba na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokela iliyopo Mkoani Mbeya
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokela iliyopo Mkoani Mbeya ya Ujeni wa Nyumba 5,000 za garama nafuu.Utiaji saini makubaliano hayo umefanyika leo mchana katika Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma na kuhudhuriwa na Wabunge wanaotoka Mkoa wa Mbeya wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalum.
Mhe.Prof Marck Mwandosya,Waziri, ambaye Wilaya hiyo Mpya iko katika Jimbo lake la Rungwe MasharikiMawaziri mwingine aliyehudhuria...
Mhe.Prof Marck Mwandosya,Waziri, ambaye Wilaya hiyo Mpya iko katika Jimbo lake la Rungwe MasharikiMawaziri mwingine aliyehudhuria...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerbtjXPCkKEbla--JwzawrMTchghGbw-PxVoy-gV2jQkyvd3a32Iu0p6JR6C53ApZxdw-4GDf5Qw4Pnz8ftA1Xl/5mby5.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhiwa tuzo na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG), Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya jana Julai 13, 2014.
Rais…
10 years ago
Michuzi14 Aug
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
![New Picture (13)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
![New Picture (14)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-14.png)
![New Picture (15)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-15.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s72-c/mby1.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s1600/mby1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sTCiMKiRHD0/U8LdQIDiPxI/AAAAAAAF16g/ZKITATvAbqU/s1600/mby2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2XQFG5zGjDA/U8LZUMUsFCI/AAAAAAAF150/kFPiSDzx7Ik/s1600/mby3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pCvi2R47bPM/U8Lazas_tII/AAAAAAAF16M/TWEsqn0Yj7w/s1600/mby4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mw9lj_B4tck/U8LbDvZaHKI/AAAAAAAF16U/VNhOaJTZD-Y/s1600/mby5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na ujumbe wake akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika hilo eneo la Napupa Mjini Masasi. Afisa Ardhi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Bw. Paul Mkami(kushoto) akimuonyesha Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na ujumbe wake ramani ya eneo la ardhi lililopewa NHC kwa ajili ya kujenga nyumba za gharama nafuu Wilayani humo.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania