NHC yasaini mkataba na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokela iliyopo Mkoani Mbeya
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zu6WODWXrQI/U5cwreJ8fJI/AAAAAAAFpks/VK1vm8UBDJo/s72-c/unnamed2.jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokela iliyopo Mkoani Mbeya ya Ujeni wa Nyumba 5,000 za garama nafuu.Utiaji saini makubaliano hayo umefanyika leo mchana katika Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma na kuhudhuriwa na Wabunge wanaotoka Mkoa wa Mbeya wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalum.
Mhe.Prof Marck Mwandosya,Waziri, ambaye Wilaya hiyo Mpya iko katika Jimbo lake la Rungwe MasharikiMawaziri mwingine aliyehudhuria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Vijana Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya wafaidika na Mkopo wa shilingi milioni 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oGfDWyblI54/VMHxbZH__zI/AAAAAAAG_H0/QBe6AH8-gZI/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z6l2sXPN8Fc/VTo7iZvvkJI/AAAAAAAAGyg/xc3ta91epWc/s72-c/P4249105.jpg)
MFUKO WA CHANGAMOTO ZA MILLENIA (MCAT) YAKABIDHIN RASMI KAMBI YA KANDA ILIYOPO MKOANI RUKWA KWA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z6l2sXPN8Fc/VTo7iZvvkJI/AAAAAAAAGyg/xc3ta91epWc/s1600/P4249105.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s72-c/New+Picture+(3).png)
FARM AFRICA YAKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA BABATI NA MBULU MKOANI MANYARA
Pikipiki hizo 10 aina ya Honda XL zina thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Sabini na Tano.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2_jZq96JcJg/UwJQXseZgxI/AAAAAAAFNp4/bVYlMEHC1L0/s1600/New+Picture+(3).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K0MfeHCEgD8/XqBJlSgDboI/AAAAAAALn1E/lsEc44nH7JQ7b0APJUgARxkFl23PWEL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200404-WA0159%2B%25281%2529.jpg)
HALMASHAURI WILAYA YA MERU MKOANI ARUSHA YATUMIA MILIONI 308/_ KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO HADI KUFIKIA APRILI 15
HALMASHAURI ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imetumia zaidi ya shilingi milioni 308 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2019//2020 hadi kufikia Aprili 15 mwaka huu.
Akizungumza leo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo amesema kuwa halmashauri hiyo katika kuunga mkono jitihada za wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 ilitenga kutoka katika makusanyo ya mapato ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JkCGxECHCw0/Vd7j7a_eREI/AAAAAAAH0Wk/5rV2jIF8T70/s72-c/4.jpg)
MAGUFULI AENDELEZA KAMPENI WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkCGxECHCw0/Vd7j7a_eREI/AAAAAAAH0Wk/5rV2jIF8T70/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T0d6bjktnd8/Vd7i33vULdI/AAAAAAAH0WM/VJNERVXPZTY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F6A0voOqFCQ/Vd7jQuei3lI/AAAAAAAH0WU/Ps8cW20xlm0/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.
Na Hillary Shoo,IKUNGI.
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_28TL01bzOs/U9z69vvoL8I/AAAAAAAAFxo/NFJ630ipwwI/s72-c/IMG_2748.jpg)
WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA KATIKA MAADHIMISHO YA NANENANE NYANDA ZA JUU KUSINI JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_28TL01bzOs/U9z69vvoL8I/AAAAAAAAFxo/NFJ630ipwwI/s1600/IMG_2748.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mRiQz5h_BEg/U9z7Ok1KlDI/AAAAAAAAFxw/IjrM4Txz8IA/s1600/IMG_2740.jpg)