Somalia yafunga balozi 9
Balozi 9 za nchi ya Somalia zimefungwa katika mataifa kadhaa ya ng'ambo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Benki ya Marekani yafunga huduma Somalia
Benki moja nchini Marekani inayoshughulikia asilimia themanini ya fedha zinazotumwa nchini Somalia itafunga huduma yake Ijumaa
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Marekani kumteua balozi wa Somalia
Rais Barack Obama apanga kumteua balozi wake nchini Somalia mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20
11 years ago
Mwananchi04 Apr
TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.
10 years ago
Vijimambo31 Dec
Maafa yafunga mwaka 2014
Basi laua wanne, 40 wajeruhiwa. Lori laparamia nguzo ya umeme, lalipuka na kuteketeza kwa moto maduka, nyumba
Siku moja tu baada ya kutokea vifo na uharibifu mkubwa wa mali katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mvua zinzoendelea kunyesha, majanga mengine yameendelea kutokea kuelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2014.
Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.
Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...
![](http://api.ning.com/files/QsYVKE-pbjbKin5XknVysBA4YalsvzH5T7jGRTUqmkgrAYlShBiomPFOJzXM23XDi0sRYUJbs8vIdMPUlL3vtZC6bJx7o86k/IMG20141230WA0018.jpg)
Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.
Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
NEMC yafunga kiwanda Moro
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG
Maduka ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi .
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania