Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Somalia yafunga balozi 9

Balozi 9 za nchi ya Somalia zimefungwa katika mataifa kadhaa ya ng'ambo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Benki ya Marekani yafunga huduma Somalia

Benki moja nchini Marekani inayoshughulikia asilimia themanini ya fedha zinazotumwa nchini Somalia itafunga huduma yake Ijumaa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kumteua balozi wa Somalia

Rais Barack Obama apanga kumteua balozi wake nchini Somalia mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20

 

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga ‘supamaketi’ 29

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefunga maduka makubwa (supermarkets) 29 kwa makosa ya kufanya biashara bila vibali mpaka pale yatakapotimiza masharti ya sheria.

 

10 years ago

Vijimambo

Maafa yafunga mwaka 2014

Basi laua wanne, 40 wajeruhiwa. Lori laparamia nguzo ya umeme, lalipuka na kuteketeza kwa moto maduka, nyumbaSiku moja tu baada ya kutokea vifo na uharibifu mkubwa wa mali katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mvua zinzoendelea kunyesha, majanga mengine yameendelea kutokea kuelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2014.

Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.

Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...

 

10 years ago

Mwananchi

NEMC yafunga kiwanda Moro

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia Kiwanda cha Nguo 21st Century cha Morogoro kwa kosa la kutiririsha majitaka yenye kemikali katika Mto Ruvu, ambao ni chanzo kikubwa cha maji kwa matumizi mbalimbali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG

Maduka ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Utaliana yafunga Ubalozi Libya

Ubalozi wa mwisho wa nchi ya Ulaya nchini Libya wafungwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani