Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafa yafunga mwaka 2014

Basi laua wanne, 40 wajeruhiwa. Lori laparamia nguzo ya umeme, lalipuka na kuteketeza kwa moto maduka, nyumbaSiku moja tu baada ya kutokea vifo na uharibifu mkubwa wa mali katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mvua zinzoendelea kunyesha, majanga mengine yameendelea kutokea kuelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2014.

Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.

Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta Manyala. Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza kutoka Ofisi ya Makao Makuu ya Magereza pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam wakisikiliza kwa...

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAFUNGA MWAKA 2013 KILELENI

Olivier Giroud akishangilia bao pekee aliloifungia Arsenal na kukwea kileleni. Cheick Tiote wa Newcastle (kulia) akiwania mpira na Wilshere wa Arsenal.
Olivier Giroud (katikati) akiwatoka Tiote (kushoto) na Mike Williamson wa…

 

10 years ago

Vijimambo

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014, MAKAO MAKUU YA MAGEREZA, D'SALAAM

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta ManyalaBaadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza kutoka Ofisi ya Makao Makuu ya Magereza pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam wakisikiliza kwa...

 

10 years ago

GPL

MAAFA MWAKA MPYA

Umati wa watu ukiwa Chenyi Square kusherehekea Mwaka Mpya 2015 kabla ya kutokea mkanyagano. Polisi wakiwa eneo la tukio baada ya kutokea taharuki na watu kukanyagana.…

 

11 years ago

GPL

MULTICHOCIE TANZANIA YAFUNGA MWAKA KWA KUSHEREHEKEA NA WANAHABARI, WADAU JIJINI DAR

Baadhi ya wadau na wanahabari wakijiachia wakati wa sherehe ya kufunga mwaka ya kampuni ya Multichoice Tanzania jana usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Hawa wakiserebuka kwa muziki.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja baada ya kuanzishwa; Halmashauri ya bumburi yafunga kiwanda cha chai

Baada ya kutangazwa kwamba Bumbuli itakuwa halmashauri inayojitegemea wananchi wengi walionekana kuwa na furaha wakiamini huenda hiyo ingesaidia kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwaka Mpya: Maafa China 35 wafariki

Sherehe za kuupokea mwaka 2015 zimeguka kuwa majonzi baada ya watu 35 kufa kwenye taharuki ya kukanyagana kwenye msongamano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walia na maafa ya kila mwaka

WANANCHI wa kitongoji cha Mwayunge mjini Igunga mkoani Tabora wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kushindwa kudhibiti maafa yanayotokea kila mwaka nyakati za masika. Wakizungumza na waandishi wa habari kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Atabiri 2014 kutawaliwa na maafa

SERIKALI imetakiwa kujiandaa katika matibabu kwa sababu mwaka 2014 unatabiriwa utakuwa wa shida na maafa makubwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam juzi na bingwa mtabiri nchini, Alhajj Hassan...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani