ARSENAL YAFUNGA MWAKA 2013 KILELENI
![](http://api.ning.com:80/files/ZF50gJ1IzcW4W4US0CvMSWYGZ5eYzMoM2i6ABTUzDGkx2XDhoJNWmQOA2VVhRuyQM-EwgF7gQfi8aVxcOxn7j*d2t3G4xZmR/1.jpg)
Olivier Giroud akishangilia bao pekee aliloifungia Arsenal na kukwea kileleni. Cheick Tiote wa Newcastle (kulia) akiwania mpira na Wilshere wa Arsenal. Olivier Giroud (katikati) akiwatoka Tiote (kushoto) na Mike Williamson wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jun
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
EPL: Arsenal yapaa kileleni
Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Arsenal kileleni, Liverpool yavutwa mkia
Klabu ya soka ya Arsenal yakaa kileleni mwa ligi ya England baada ya kuichapa timu inayoburuza mkia ya Aston Villa bao 2-0 huko Villa Park .
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Arsenal yarejea tena kileleni mwa ligi
Baada ya kuilaza West Ham kwa magoli mawili kwa moja siku ya Alhamisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO69NUWO365Uw5uKqUsIQzIahb-5jr9Qo4J-LmosFq7vZ8FYsoZFfppVYR*rBGJ9rboBCj2-SHWWN9LlbLdDaj0U/arsenal.jpg?width=650)
ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND
Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXspB5Sfvs6JRTpDCvFddNJ40NoQMc*ZnPcJH75g6vEBLqLqOQaeA9gM8HuWl4qauoSJHbwQ9DPHZTz5N-CzKJgj/b.jpg)
ARSENAL, CHELSEA NGOMA DROO, LIVERPOOL YAENDELEA KUKAA KILELENI
Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud (kulia) akipiga mpira mbele ya beki wa Chelsea, Gary Cahill. Frank Lampard wa Chelsea (kushoto) akikwaana na Mesut Ozil wa Arsenal wakati wa mchezo wa leo uliomalizika 0-0.…
10 years ago
Vijimambo31 Dec
Maafa yafunga mwaka 2014
Basi laua wanne, 40 wajeruhiwa. Lori laparamia nguzo ya umeme, lalipuka na kuteketeza kwa moto maduka, nyumba
Siku moja tu baada ya kutokea vifo na uharibifu mkubwa wa mali katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mvua zinzoendelea kunyesha, majanga mengine yameendelea kutokea kuelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2014.
Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.
Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...
![](http://api.ning.com/files/QsYVKE-pbjbKin5XknVysBA4YalsvzH5T7jGRTUqmkgrAYlShBiomPFOJzXM23XDi0sRYUJbs8vIdMPUlL3vtZC6bJx7o86k/IMG20141230WA0018.jpg)
Vifo vya watu wasio na hatia vimetokea, watu kujeruhiwa na uharibifu mwingine mkubwa wa mali umetokea tena na kuacha vilio vingine.
Katika janga la kwanza, watu wanne wamekufa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania