Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yarejea tena kileleni mwa ligi

Baada ya kuilaza West Ham kwa magoli mawili kwa moja siku ya Alhamisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

11 years ago

Michuzi

AZAM FC YAREJEA KILELENI LIGI KUU


Na Bin Zubeiry
AZAM FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ashanti United jioni hii Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ifikishe pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiishusha nafasi ya pili, Yanga SC yenye pointi 38 ingawa ina mechi moja mkononi.Gaudence Exavery Mwaikimba alifunga kila kipindi dhidi ya timu yake ya zamani, mabao yote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yapanda kileleni mwa ligi

David Silva alifunga mabao mawili dhidi ya Crystal Palace na kuiwezesha Manchester City kupanda hadi kilele cha ligi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL

Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA

Kikosi cha Mtibwa Sugar.Kikosi cha Yanga. Benchi la ufundi la Mtibwa Sugar. Kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohamed akiwapanga wachezaji wake.Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yarejea kileleni,Uingereza

Liverpool iliititima Tottenham 4-0 Anfield na kurejea kileleni mwa jedwali la ligi ya premia.

 

10 years ago

Habarileo

Simba yaua, Yanga yarejea kileleni

SIMBA jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya Majimaji ya Songea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

5 years ago

Michuzi

LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL

Baada ya Bundesliga kuanza kutimua vumbi, Pazia la ligi Kuu nchini Uingereza linatarajia kufunguliwa Juni 17 mwaka huu kwa mechi mbili kuchezwa.

Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.

Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...

 

10 years ago

Habarileo

Huduma ya maji Dar yarejea tena

BAADA ya wakazi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kukaa bila maji takribani siku nane, hatimaye baadhi ya maeneo yameanza kupata maji baada ya matengenezo yaliyokuwa yanafanyika kukamilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani