Simba yaua, Yanga yarejea kileleni
SIMBA jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya Majimaji ya Songea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Sep
Yanga, Simba, Azam zakabana kileleni
NA WAANDISHI WETU
TIMU za Yanga, Simba na Azam zimeendeleza wimbi la ushindi na kukabana koo kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya jana kushinda mechi zao za pili mfululizo.
Timu hizo zote zina pointi sita, lakini zinatofautiana kwa idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Yanga ambao wanatetea ubingwa hadi sasa ipo kileleni ikiwa haijaruhusu bao la kufungwa, ila imeshinda mabao matano hadi sasa, ikifuatiwa na Azam ambayo imeshashinda mabao manne na kuruhusu moja la kufungwa.
Simba...
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Liverpool yarejea kileleni,Uingereza
11 years ago
Michuzi
AZAM FC YAREJEA KILELENI LIGI KUU

Na Bin Zubeiry
AZAM FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ashanti United jioni hii Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ifikishe pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiishusha nafasi ya pili, Yanga SC yenye pointi 38 ingawa ina mechi moja mkononi.Gaudence Exavery Mwaikimba alifunga kila kipindi dhidi ya timu yake ya zamani, mabao yote...
11 years ago
GPL
ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Arsenal yarejea tena kileleni mwa ligi
10 years ago
Mtanzania22 Oct
Yanga yaua, Simba yafa
*Stand United yazidi kupeta, Coastal Union yazinduka
NA WAANDISHI WETU
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, jana waliendeleza ubabe katika ligi hiyo baada ya kuifanyia mauaji Toto Africans kwa kuifunga mabao 4-1 huku mahasimu wao, Simba wakilala kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons.
Ushindi wa jana kwa Yanga ambao wamecheza mara moja ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar na kushinda mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro, ni wa sita kwa vinara hao katika Uwanja wa Taifa,...
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Yanga yajivinjari kileleni
NA SALMA JUMA, TANGA
USHINDI wa bao 1-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya wa Tanga, timu ya Coastal Union jana umeifanya Yanga kujivinjari kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa na pointi 22 katika msimamo wa ligi hiyo.
Yanga imejikusanyia pointi hizo baada ya kucheza michezo 12, huku ikibakiza mechi yake ya kiporo dhidi ya Mbeya City, ikifuatiwa na Azam yenye pointi 21 huku ikiwa imecheza michezo 11, Mtibwa inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 18.
Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Yanga yapaa kileleni
YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.