Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Simba, Azam zakabana kileleni

pG 32NA WAANDISHI WETU

TIMU za Yanga, Simba na Azam zimeendeleza wimbi la ushindi na kukabana koo kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya jana kushinda mechi zao za pili mfululizo.

Timu hizo zote zina pointi sita, lakini zinatofautiana kwa idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Yanga ambao wanatetea ubingwa hadi sasa ipo kileleni ikiwa haijaruhusu bao la kufungwa, ila imeshinda mabao matano hadi sasa, ikifuatiwa na Azam ambayo imeshashinda mabao manne na kuruhusu moja la kufungwa.

Simba...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam yaitoa Yanga kileleni

AZAM jana ilishika usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKT Ruvu. Mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu ulifanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ambapo hadi mapumziko washindi walikuwa mbele kwa mabao 2-1.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam yaishusha Yanga kileleni

Pg 32 feb 12NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Azam FC, jana walirejea kuongoza ligi kwa kishindo baada ya kuibamiza bila huruma Mtibwa Sugar mabao 5-2 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Kwa matokeo ya jana, Azam imefikisha pointi 25 sawa na Yanga lakini zikiwa zimetofautiana kwa mabao ya kufunga na kufungwa.
Azam ilianza kupata karamu hiyo ya mabao kupitia kwa mshambuliaji wake wa kimataifa, Didier Kavumbagu dakika ya 19,...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaipumulia Yanga kileleni

Azam FC imefanikiwa kupunguza pengo la pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, baada ya jana kuifunga Kagera Sugar kwa mabao 2-0.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaifuata Yanga kileleni

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani baada ya kuichapa Mbeya City kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yaiporomosha Yanga kileleni

azamNA JENIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

TIMU ya Azam FC imeitibulia Yanga kwa kuitoa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya  kuifunga Mtibwa Sugar bao 1-0 na kukwea juu yao katika mchezo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo, Azam wamefikisha pointi 35 wakiishusha Yanga nafasi moja ambao wana pointi 33 katika msimamo wa ligi hiyo.

Lilikua bao la mshambuliaji John Bocco, ambalo lilitosha kuirejesha Azam kileleni, baada ya kufunga bao pekee...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yaing’oa Yanga kileleni

Azam wamekalia usukani wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya  Yanga kulazimishwa sare 0-0 na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kuitoa Yanga kileleni?

Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam itacheza na Mtibwa Sugar Jumatano katika jitihada za kuiondoa kileleni mwa ligi, klabu ya Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaua, Yanga yarejea kileleni

SIMBA jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya Majimaji ya Songea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani