Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yarejea kileleni,Uingereza

Liverpool iliititima Tottenham 4-0 Anfield na kurejea kileleni mwa jedwali la ligi ya premia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Simba yaua, Yanga yarejea kileleni

SIMBA jana iliwapa raha mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya Majimaji ya Songea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Michuzi

AZAM FC YAREJEA KILELENI LIGI KUU


Na Bin Zubeiry
AZAM FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ashanti United jioni hii Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ifikishe pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiishusha nafasi ya pili, Yanga SC yenye pointi 38 ingawa ina mechi moja mkononi.Gaudence Exavery Mwaikimba alifunga kila kipindi dhidi ya timu yake ya zamani, mabao yote...

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yarejea tena kileleni mwa ligi

Baada ya kuilaza West Ham kwa magoli mawili kwa moja siku ya Alhamisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yarejea katika ligi kuu Ulaya

Baada ya miaka 5 nje Liverpool leo wanawakaribisha timu ya Lugorets Razgrad,ya Bulgaria Anflied.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kileleni, Liverpool yavutwa mkia

Klabu ya soka ya Arsenal yakaa kileleni mwa ligi ya England baada ya kuichapa timu inayoburuza mkia ya Aston Villa bao 2-0 huko Villa Park .

 

11 years ago

GPL

ARSENAL, CHELSEA NGOMA DROO, LIVERPOOL YAENDELEA KUKAA KILELENI

Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud (kulia) akipiga mpira mbele ya beki wa Chelsea, Gary Cahill. Frank Lampard wa Chelsea (kushoto) akikwaana na Mesut Ozil wa Arsenal wakati wa mchezo wa leo uliomalizika 0-0.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani