Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yarejea katika ligi kuu Ulaya

Baada ya miaka 5 nje Liverpool leo wanawakaribisha timu ya Lugorets Razgrad,ya Bulgaria Anflied.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

11 years ago

Michuzi

AZAM FC YAREJEA KILELENI LIGI KUU


Na Bin Zubeiry
AZAM FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ashanti United jioni hii Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ifikishe pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiishusha nafasi ya pili, Yanga SC yenye pointi 38 ingawa ina mechi moja mkononi.Gaudence Exavery Mwaikimba alifunga kila kipindi dhidi ya timu yake ya zamani, mabao yote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Norwhich City,yarejea ligi kuu England

Klabu ya soka ya England Norwhich City imefanikiwa kurejea katika ligi kuu ya baada kuifunga Middlesbrough 2-0.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Liverpool hapatoshi ligi kuu

Arsenal na Liverpool zinapambana leo katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

9 years ago

BBCSwahili

Newcastle yainyuka Liverpool ligi kuu England

Newcastle walishangaza majogoo wa Ligi ya Uingereza Liverpool kwa kuwanyuka 2-0 mechi iliyochezewa uwanja wa St James Park.

 

9 years ago

GPL

Vita ya makocha sita wa Ulaya Ligi Kuu

kocha wa Yanga Hans van Der Pluijm LIGI Kuu Bara inaanza leo huku gumzo likiwa ni uwezo wa makocha sita kutoka Ulaya ambao wanaandika historia ya kuzifundisha timu za ligi hiyo kwa pamoja ndani ya msimu mmoja. Kocha wa Simba Dylan Kerr Timu sita za ligi kuu zinafundishwa na makocha raia wa nchi za Ulaya ambao ni Hans van Der Pluijm wa Yanga raia wa Uholanzi, Dylan Kerr (Uingereza, Simba), Stewart Hall (Uingereza, Azam FC) na...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara

Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani