Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mufti:''Twitter ni chanzo cha maovu''

Mtandao wa kijamii wa Twitter unaosifika sana miongoni mwa wanawake na wanaume nchini Saudi Arabia, umesemekana kuwa chanzo cha uovu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper mpya? Baada ya Magufuli, Papa Francis atrend Twitter na #PopeBars, picha hii ndio chanzo

3596

Weusi, Fid Q na rappers wengine kaeni chonjo sababu Papa Francis anataka crown yake!

3596

Picha ya kiongozi huyo mkuu wa kanisa katoliki duniani akiongea huko Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati, imesababisha atrend kwenye Twitter kwa hashtag #PopeBars.

Papa anaonekana akiwa ameshika kipaza kama vile wanavyoshika rappers na hivyo kuifanya picha hiyo iwe gumzo mtandaoni.

Wakitumia hashtag ya #PopeBars watu wamekuwa wakiandika mashairi wanayodhani kama Papa angekuwa rapper akenguwa akiyachana.

Haya...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Michuzi

NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI

MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar jana ameungana na mamia ya wananchi katika kijijicha Karangai kata ya Kikwe katika jimbo hilo kufanya shughuli za awali za ujenzi wa chanzo kipya cha Maji kwa ajili ya umwagiliaji.


Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.

Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE JOSHUA NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.

Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar aiwa amepanda kwenye Lori lililokuwalikibeba mawe kwa ajili ya ujenzi wa chanzo kipya cha maji kwa ajili ya kumwagilia katika kijiji cha Karangai kata ya Kikwe katika jimbo hilo. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akishirikiana na wananchi katika kijiji cha Karangai kuweka mawe katika chanzo cha maji kwa ajili ya umwagiliaji. Mbunge Nassar akisaidia katika hatua za awali za ujenzi wa eneo hilo. Mbunge Joshua Nassar...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge Joshua Nassari ashiriki ujenzi wa chanzo cha maji kijiji cha Karangai katika jimbo la Arumeru Mashariki

Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa amepanda kwenye Lori lililokuwalikibeba mawe kwa ajili ya ujenzi wa chanzo kipya cha maji kwa ajili ya kumwagilia katika kijiji cha Karangai kata ya Kikwe katika jimbo hilo. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki , Joshua Nassari akishirikiana na wananchi katika kijiji cha Karangai kuweka mawe katika chanzo cha maji kwa ajili ya umwagiliaji.

11136751_10153393923082938_5790109227992099170_n

Mbunge Nassari akisaidia katika hatua za awali za ujenzi wa eneo hilo. Mbunge Joshua...

 

9 years ago

Michuzi

Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji

Meneja Mradi Ruvu chini Mhandisi Emmanuel Makasa (aliyevaa tai) akiongea na waandishi wa habari walipotembelea ujenzi wa bomba la maji kutoka Ruvu Chini kabla ya kusafirishwa kwenda jijini Dar es salaam.Fundi akiendelea na kazi ya kuunganisha na kuchomelea bomba la maji ambalo litasafirisha maji kutoka Ruvu Chini kwenda jijini Dar es salaam.Baadhi ya mitambo ya kusafisha maji ambayo yamesafishwa tayari kwa matumizi ya wananchi wa mikoa ya Dar es salaam na Pwani.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

BBCSwahili

Chanzo cha wakimbizi kishughulikiwe

Waziri wa fedha wa Uingereza ataka sababu za watu kukimbia Syria ishughulikiwe na ndipo ufumbuzi utapatikana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani