Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu — 2
KATIKA makala iliyopita, nilidokeza historia kidogo kuonyesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Nilionyesha japo kwa mbali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Nyerere hakuwa mwongo, mdanganyifu au mwoga
KUNA mengi ambayo mtu anaweza kusema kuhusu Nyerere; tena mengi tu ambayo unaweza kumwita na ukajisikia kwa kiasi fulani uko sahihi au ukajionea raha ndani ya moyo wako na utulivu...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Nyerere hakuwa mwongo, mwoga, au mdanganyifu — 3
KATIKA makala iliyopita nilidokeza historia kidogo kuonesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanataka tuamini. Nilionesha japo kwa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga
USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...
11 years ago
Habarileo15 Dec
Zitto akerwa kuitwa mwongo, ‘kulipuka’ bungeni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Mwanamume akiwa wodi ya wazazi ni sawa na askari mwoga aliyeenda vitani
10 years ago
Vijimambo15 Nov
UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-VbL769tY46U%2FVGay1TdKAGI%2FAAAAAAADNAw%2FyyGk9jZiG44%2Fs1600%2F149108.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.
UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--yAW_U7HC1o/U5FFjQUmkmI/AAAAAAAFn90/jExkY0uoElg/s72-c/unnamed1.jpg)
BAN KI MOON AZINDUA MWONGO WA NISHATI KWA WOTE (2014-2024 )
10 years ago
Habarileo07 Apr
Muasisi: Karume hakuwa fisadi
MUASISI wa Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa kamati ya watu 14 walioshiriki mapinduzi hayo mwaka 1964, Hamid Ameir (85) ameeleza siri ya mafanikio ya uongozi wa Hayati Abeid Amaan Karume na kushauri viongozi walio madarakani kuiga mfano wake.
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Drake: Serena hakuwa na bahati
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.
Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.
“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...