Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius hakuwa na miguu yake bandia

Mtaalamu wa mabomu katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, amesema kuwa mwanariadha huyo hakuwa amevaa miguu yake bandia alipomuua Reeva Steenkamp

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kampuni D’ salaam yatengeneza miguu bandia kwa majaribio

Kampuni ya Kamal Group ya inayojihusisha na utengenezaji wa nondo, imetengeneza miguu bandia ya majaribio na kuigawa kwa watu 60 wenye ulemavu.

 

11 years ago

Habarileo

'Baba hakuwa jambazi, kazi yake imemponza'

SAKATA la kuuawa majambazi wanne jijini Arusha, mwishoni mwa wiki iliyopita, limeingia katika sura mpya. Hali hiyo inatokana na ndugu wa marehemu Japhet Kutingala (48), ambaye ni miongoni mwa watu hao wanne waliouawa na polisi, kuiomba polisi kufanya kazi zake kwa umakini ili kuepusha madhara kwa watu wengine wasio na hati kama ndugu yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pamoja na kutokuwa na miguu na mikono, Tio anayafurahia maisha yake

Tio ni kijana mdogo kutoka Indonesia, anapenda sana kucheza michezo ya video na kujipatia taarifa za ulimwengu kwa simu yake ya mkononi.

 

9 years ago

Bongo Movies

Kwa Mara ya Kwanza Wastara Aonyesha Miguu Yake na Kuandika Mazito

Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kama unavyoiona pic
Huyo ndio wastara nilivyo hakuna kilichopungua zaidi ya hicho unachokiona
Kuwa mlemavu ni kitu kingine tofauti ukiwa mzima hivyo kusikia maumivu na kuumwa mguu ni kitu cha kawaida
Sasa nipo nairobi kimatibabu na tatizo ni operetion ya kwanza nilikosewa ndio sababu ya maumivu ya mara kwa mara madaktari wameshajua nini cha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

10 years ago

GPL

PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake leo. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake . Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita. Mwanariadha wa Afrika Kusini… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius kuuza nyumba yake ya kifahari

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorious atauza nyumba yake ili aweze kumudu gharama ya kesi ya mauaji inayomkabili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius kujua hatma yake

Mahakama nchini Afrika Kusini leo itatoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha mlemavu wa Oscar Pistorius

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani