JWTZ: Diamond hakuwa na kibali
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema kuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu ‘Diamond Platinumz’, aliyetinga na sare za jeshi jukwaani kwenye tamasha la Fiesta, hakuwa na kibali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Diamond: Samahani JWTZ
HATIMAYE msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdallah ‘Diamond Platinumz,’ ameliomba radhi Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kutumia magwanda ya kijeshi hilo bila kuwa na kibali. Diamond...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s72-c/IMG_43399519162233.jpeg)
DIAMOND MATATANI KWA KUPANDA JUKWAA LA FIESTA NA MAVAZI YA JWTZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s640/IMG_43399519162233.jpeg)
Katika Onyesho hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, mwishoni mwa wiki iliyopita, pia wasanii kadhaa akiwapo Ney wa Mitego pia walipanda jukwaani na wanenguaji wao wakiwa wametinga mavazi kama hayo aliyotinga Diamond.
Kutokana na tukio hilo, Kamanda wa...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Muasisi: Karume hakuwa fisadi
MUASISI wa Mapinduzi ya Zanzibar ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa kamati ya watu 14 walioshiriki mapinduzi hayo mwaka 1964, Hamid Ameir (85) ameeleza siri ya mafanikio ya uongozi wa Hayati Abeid Amaan Karume na kushauri viongozi walio madarakani kuiga mfano wake.
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Drake: Serena hakuwa na bahati
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki kutoka nchini Canada, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema bingwa wa tenisi duniani, Serena Williams, hakuwa na bahati katika hatua ya nusu fainali ya mchezo wa tenisi dhidi ya Roberta Vinci.
Inasemekana kuwa Drake anatoka na mwanadada huyo ambaye ametolewa katika michuano ya wazi ya US nchini Marekani.
“Serena alionyesha uwezo wake lakini hakuwa na bahati katika mchezo huo, wengi tulikuwa na matumaini kwamba anaweza kuingia hatua ya fainali, lakini haikuwa siku...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Nyerere hakuwa mwongo, mdanganyifu au mwoga
KUNA mengi ambayo mtu anaweza kusema kuhusu Nyerere; tena mengi tu ambayo unaweza kumwita na ukajisikia kwa kiasi fulani uko sahihi au ukajionea raha ndani ya moyo wako na utulivu...
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Pistorius hakuwa na miguu yake bandia
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mgonjwa wa Moshi hakuwa na ebola-Wizara
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu — 2
KATIKA makala iliyopita, nilidokeza historia kidogo kuonyesha jinsi gani Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere hakuwa mwongo, mwoga au mdanganyifu kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Nilionyesha japo kwa mbali...