Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond: Samahani JWTZ

HATIMAYE msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdallah ‘Diamond Platinumz,’ ameliomba radhi Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kutumia magwanda ya kijeshi hilo bila kuwa na kibali. Diamond...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JWTZ: Diamond hakuwa na kibali

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema kuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu ‘Diamond Platinumz’, aliyetinga na sare za jeshi jukwaani kwenye tamasha la Fiesta, hakuwa na kibali...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND MATATANI KWA KUPANDA JUKWAA LA FIESTA NA MAVAZI YA JWTZ

UFUATIA picha zilizoenea katika mitandao ya Kijamii, kuhusiana na msanii huyo kutinga mavazi hayo, hivi sasa Jeshi la Polisi limemfungulia mashitaka msanii huyo kwa tuhuma za kupanda jukwaani akiwa na sare za jeshi.

Katika Onyesho hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, mwishoni mwa wiki iliyopita, pia wasanii kadhaa akiwapo Ney wa Mitego pia walipanda jukwaani na wanenguaji wao wakiwa wametinga mavazi kama hayo aliyotinga Diamond.

Kutokana na tukio hilo, Kamanda wa...

 

10 years ago

GPL

HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AOMBA SAMAHANI

Jolly Tumuhirwe akimtesa mtoto Arnella. HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amefikishwa mahakamani leo. Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe ameiambia mahakama kuwa anajutilia kile alichokifanya na anaomba msamaha. Ameshitakiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella.
Licha ya taarifa ya polisi kusema Jolly atashitakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji, kiogozi wa mashitaka alimshitaki Jolly kwa kosa la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JWTZ yaonya

KUTOKANA na kuzidi kushamiri kwa matukio ya uhalifu nchini, huku wahusika wakionekana kutumia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jeshi hilo limeonya na kupiga marufuku wanaovaa sare za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani