SITAKI SIASA NYUMBANI KWANGU!
![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3MM-Rp67wqr*mrYOGPQNGD9Wr8GsNrsL5HM*0AvauqwOqZadCXifYJ4jQ7XG2LIFusr66AFXwgz4gU6k6JpXFO8/CHEKANAKITIME.jpg)
Nasema sasa nimechoka na ntamtandika mtu mikwaju muda si mrefu. Nyumba yangu halafu wapangaji ndiyo wananisumbua hivi? Hivi wanajua nyumba hii nilijengaje? Miaka hiyo hapa palikuwa shamba la mpunga nikadunduliza hela nikanunua haka kashamba, kisha wakati huo nikiwa kuli mbeba mizigo pale bandarini ndiyo nikawa nakusanya hela kidogo kidogo mpaka nikajenga kakibanda leo hii imekuwa nyumba, nimewakaribisha hawa ambao hawajui hata...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
JB: Siasa Sio Vita…Sitaki Utoto Nikitangaza Kazi Zangu
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen maarufu kama JB ameanza kuathiriwa na vuguvugu za kisiasa katika kazi zake za filamu.
JB ambaye amekuwa akionekana katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi, amejikuta katika wakati mgumu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupokea matusi na kejeli alipotangaza ujio wa kazi mpya marehemu Adam Kuambiana ambaye anadaiwa alikuwa Chadema.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram JB ameandika:
Narudia tena siasa sio vita…marehemu Adam alikuwa Chadema kuliko wengi wenu,...
10 years ago
Michuzi28 Aug
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2ISsDccxAbIEkhgATfdmTGZ5RwTJm0C9HU0CDvZm--wIgR2uppcXT6Z5ZekIWfgLB8jUCk2h7-LTtOGfEm3IqB3/snura.jpg?width=650)
SNURA: 2014 MAJANGA KWANGU
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Gotze: Ni kama zali tu kwangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzfuMLZOXzM8bfRucbqBlMl3jB124fNproCEdjHXpHfjXxGUJFrL6DcGxx1wuY7ePJAyAVpXr2fhWs5k9iBv5FDm/Johari.jpg)
JOHARI: RAY NI KILA KITU KWANGU!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/davidooo.jpg?width=650)
DAVIDO: FILAMU SASA, MWIKO KWANGU!