JB: Siasa Sio Vita…Sitaki Utoto Nikitangaza Kazi Zangu
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen maarufu kama JB ameanza kuathiriwa na vuguvugu za kisiasa katika kazi zake za filamu.
JB ambaye amekuwa akionekana katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi, amejikuta katika wakati mgumu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupokea matusi na kejeli alipotangaza ujio wa kazi mpya marehemu Adam Kuambiana ambaye anadaiwa alikuwa Chadema.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram JB ameandika:
Narudia tena siasa sio vita…marehemu Adam alikuwa Chadema kuliko wengi wenu,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Lulu:Napenda Zaidi Ushauri au Maoni Kuhusu Kazi Zangu Na Sio Mwili Wangu
Mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael“Lulu”ameyasema haya akiwa “GYM” anafanya mazoezi.
“Hii ni Kwa ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki....!
Ningependa zaidi kupokea maoni Au ushauri juu Ya kazi zangu(filamu)nifanye nn,niongeze Nn au nipunguze nn....ushauri wa Mwili WANGU ninaomba mniachie mimi na Doctor pengine....mana tunapoelekea kuna watu mtatupangia mpaka style za kulala vitandani,hamshindwi kusema kwasababu Wewe Kioo cha jamii ukilala chali haipendezi “ Lulu alimaliza.
Wengi...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3MM-Rp67wqr*mrYOGPQNGD9Wr8GsNrsL5HM*0AvauqwOqZadCXifYJ4jQ7XG2LIFusr66AFXwgz4gU6k6JpXFO8/CHEKANAKITIME.jpg)
SITAKI SIASA NYUMBANI KWANGU!
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Belle 9: Huwa natumia muda mwingi kuboresha kazi zangu
10 years ago
CloudsFM18 Nov
DIAMOND: MITANDAO YA KIJAMII IMESAIDIA KAZI ZANGU KUWAFIKIA MASHABIKI DUNIA NZIMA
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz mwenye ‘followers’ 489,881, kwenye twitter watu laki 131, na Instagram watu 291,643, You Tube ‘subcribers’ 76,134.
Hii inamaanisha Diamond ni msanii na Mtanzania wa kwanza mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii maarufu.
Pia Diamond amefunguka jinsi mitandao ya kijamii inavyomsaidia katika kuuutangaza muziki wake na lebo yake kwa kumsogeza karibu zaidi na jamii ya watu wanaotumia mitandao hiyo dunia nzima.
11 years ago
Michuzi27 Mar
Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jnr6Dbg3YZ1zpWbAFRiqnlXHatfZVeUcEX-DFprzAR0byGbzKkYzLH9vtNKfp7yhh-PxbCIPRk4KdAtknWLpvXtW1fufo0c2/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
SIASA MWAKA HUU VITA NZITO!
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola