Belle 9: Huwa natumia muda mwingi kuboresha kazi zangu
Msanii aliyewahi kutamba na wimbo ‘Nilipe Nisepe’ Abednego Damian, aka Belle 9, amesema huwa anatumia muda mwingi kukaa na kuangaia upungufu aliyonayo katika uboreshaji wa kazi zake, ndiyo maana hutoa nyimbo mara kwa mara
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGOMBEA-1-001.jpg?width=650)
MGOMBEA UKAWA ATUMIA MUDA MWINGI KUTAMBULISHA FAMILIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata taarifa hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli
![JB na Diana Kimaro](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb533.jpg)
JB Akiwa na Diana Kimaro
Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.
Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.
Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
JB: Siasa Sio Vita…Sitaki Utoto Nikitangaza Kazi Zangu
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen maarufu kama JB ameanza kuathiriwa na vuguvugu za kisiasa katika kazi zake za filamu.
JB ambaye amekuwa akionekana katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi, amejikuta katika wakati mgumu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupokea matusi na kejeli alipotangaza ujio wa kazi mpya marehemu Adam Kuambiana ambaye anadaiwa alikuwa Chadema.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram JB ameandika:
Narudia tena siasa sio vita…marehemu Adam alikuwa Chadema kuliko wengi wenu,...
10 years ago
CloudsFM18 Nov
DIAMOND: MITANDAO YA KIJAMII IMESAIDIA KAZI ZANGU KUWAFIKIA MASHABIKI DUNIA NZIMA
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz mwenye ‘followers’ 489,881, kwenye twitter watu laki 131, na Instagram watu 291,643, You Tube ‘subcribers’ 76,134.
Hii inamaanisha Diamond ni msanii na Mtanzania wa kwanza mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii maarufu.
Pia Diamond amefunguka jinsi mitandao ya kijamii inavyomsaidia katika kuuutangaza muziki wake na lebo yake kwa kumsogeza karibu zaidi na jamii ya watu wanaotumia mitandao hiyo dunia nzima.
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Lulu:Napenda Zaidi Ushauri au Maoni Kuhusu Kazi Zangu Na Sio Mwili Wangu
Mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael“Lulu”ameyasema haya akiwa “GYM” anafanya mazoezi.
“Hii ni Kwa ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki....!
Ningependa zaidi kupokea maoni Au ushauri juu Ya kazi zangu(filamu)nifanye nn,niongeze Nn au nipunguze nn....ushauri wa Mwili WANGU ninaomba mniachie mimi na Doctor pengine....mana tunapoelekea kuna watu mtatupangia mpaka style za kulala vitandani,hamshindwi kusema kwasababu Wewe Kioo cha jamii ukilala chali haipendezi “ Lulu alimaliza.
Wengi...
9 years ago
Bongo529 Sep
Hofu ya wasanii wengine kutoa kazi zao kipindi cha uchaguzi imenipa mimi uwanja wa kujidai — Belle 9
10 years ago
Habarileo30 Sep
Polisi kuboresha mifumo ya kazi
JESHI la Polisi nchini lipo kwenye mchakato wa kuboresha mifumo mbalimbali ya utekelezaji kazi na kutunga sheria mpya ya jeshi hilo ili kukidhi matakwa na hali halisi ya sasa.
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAPOKEA VITENDEA KAZI TOKA UNDP KUBORESHA UTENDAJI
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, katika kuboresha utendaji kazi na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, imepokea vitendea kazi vya kielektroniki toka Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Umoja wa Mataifa (UNDP).
Vitendea kazi vilivyopokelewa ni Kompyuta saba (7), “printer” 10 na kompyuta mpakato tatu (3) vyenye thamani ya shilingi 45,919,500/=.
Akipokea vitenda kazi hivyo leo toka kwa Bw. James Bwana, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya...