MGOMBEA UKAWA ATUMIA MUDA MWINGI KUTAMBULISHA FAMILIA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGOMBEA-1-001.jpg?width=650)
Mgombea udiwani wa Kata ya Kilakala kwa tiketi ya Chadema , Mapunda Lusewe akitambulisha familia yake jukwaani. Na Dustan Shekidele, Morogoro MGOMBEA udiwani wa Kata ya Kilakala kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa baraka za muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mapunda Lusewe, Jumamosi iliyopita alizindua kampeni kwa kuibua minongo’no kufuatia kitendo chake cha kutumia muda mrefu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1yfN1o-y5OBbS2TRLog5YfBPJzXrLMqw80ad8KsEYBASWc7jCW5GcSbJJUB8uLxOPPV6vWsjBtHXEtKgBlXx-v9/ukawa.jpg?width=650)
KIKAO CHA UKAWA KUMPATA MGOMBEA URAIS KINAENDELEA MUDA HUU
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Belle 9: Huwa natumia muda mwingi kuboresha kazi zangu
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MJUMBE wa Kamati ya Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ametumia muda wote aliopewa kumnadi mgombeaa urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli kumtukana mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayewakilisha Ukawa, Edward Lowassa pamoja na viongozi wenzake.
Katika mkutano huo uliofanyika jana katika viwanja vya Samora mjini Iringa na kurushwa moja kwa moja katika Kituo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata taarifa hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s72-c/Kasim%2BMsham.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"
![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s640/Kasim%2BMsham.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5eDMxtuCzGE/VepIm1dnDxI/AAAAAAABgFE/xIvF9zITspE/s640/umati%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mwdG9uRX5fY/VepIvXFuVjI/AAAAAAABgFg/_onu9TBogyk/s640/umati.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 years ago
Bongo502 Oct
Sijaoa kwasababu sina muda wa familia — Flavour
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Cz_jr6rEhnI/VlECqdV5poI/AAAAAAAAXLQ/a-D-3iSnQ6U/s72-c/Picha_no_7-620x308.jpg)
Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo