Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MJUMBE wa Kamati ya Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ametumia muda wote aliopewa kumnadi mgombeaa urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli kumtukana mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayewakilisha Ukawa, Edward Lowassa pamoja na viongozi wenzake.
Katika mkutano huo uliofanyika jana katika viwanja vya Samora mjini Iringa na kurushwa moja kwa moja katika Kituo cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGOMBEA-1-001.jpg?width=650)
MGOMBEA UKAWA ATUMIA MUDA MWINGI KUTAMBULISHA FAMILIA
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Samia atumia kongamano la wanawake kupiga kampeni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf18dTunjk8WccYejhfxDQrgUlHR1ZqSURjmqvmcMRp-wBAeaJsVpQyxkwGrIOFeP5XJfCbyZuoeEdC*XeXk2srg/NAPE.jpg)
NAPE: KURUDISHWA KWA MAWAZIRI MIZIGO NI KUWAPA MUDA WAREKEBISHE MAPUNGUFU YAO
11 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Habarileo05 Nov
Muda wa kampeni Katiba mpya bado-JK
WAKATI makundi kadhaa yakianza kufanya mikutano na kuendesha midahalo kuhusiana na Katiba Inayopendekezwa, Rais Jakaya Kikwete amesema muda wa kufanya kampeni na kuuelimisha umma juu ya katiba hiyo haujafika na amewataka wananchi kuwa na subira ili kuepusha vurugu.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uTs2VG06Xfg/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu. Julius Mathias – Mwananchi Posted Jumanne, Septemba 8, 2015 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni […]
The post IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai appeared first on Mzalendo.net.