HATUTARUHUSU VURUGU WAKATI WA KAMPENI KALENGA-NAPE
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Hofu ya vurugu yatanda jimbo la Kalenga
Zikiwa zimesalia siku 12 kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Kalenga, zimeanza kuonekana dalili za vitendo vya uvunjifu wa amani baada ya vyama vikuu viwili vinavyokabana koo – CCM na Chadema kuanza kutuhumiana kwa vurugu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s72-c/MMG24848.jpg)
WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s1600/MMG24848.jpg)
Akizungumza leo kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU: NGUMI ZAPIGWA WAKATI WA MDAHALO WA KATIBA
Jaji Warioba. VURUGU zilizoambatana na ngumi kurushwa zimetokea hivi punde katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba. Vurugu hizo zimezuka baada ya watu waliokuwa na mabango kuvamia ukumbuni hapo na...
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM yaridhishwa na kampeni za Kalenga
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Phillip Mangula amesema amejiridhisha na mwenendo wa kampeni za chama chake katika uchaguzi mdogo wa Kalenga.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Dk Slaa azindua kampeni Kalenga
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa jana alizindua kampeni za kumnadi mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kalenga, Grace Tendega, huku akionya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuongezewa posho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cGWAhwTCD5R58q6JwWKkBLHOg*tl6GSCaTUV038fQJvyoMG0TINzpN9UNd7kZH7P*LeuydgLO4jIEHOXrD7AGi/VURUGU.jpg)
VURUGU UWANJANI: 15 WAPOTEZA MAISHA WAKATI WA MECHI DRC
Mojawapo ya vurugu zilizowahi kutokea uwanjani. Watu 15 wamepoteza maisha wakati 21 wakijeruhiwa baada ya vurugu kuibuka uwanjani mjini Kinshasa, DRC baada ya polisi kulipua mabomu ya machozi kwa mashabiki. Vurugu hizo ziliibuka wakati wa mechi kati ya ASV Club na Tout Puissant Mazembe.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi
Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata utaratibu na kuchoma maboxi 11 ya kupigia kura na karatasi za kupigia kura zenye thamani ya Sh 2.2 milioni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-ecSKVVINiZzxpRCjMKQsPR0EVbYPm5wJsLY84Q5h9m7*-qcFaTpgHuynd0IqJYA8uLFkhoMTnDfBQS*0Ovbw-/21.WananchiwakimshangiliamgombeawaCCMMgimwakatikakijijichaMsekeKatayaMseke.jpg?width=650)
KAMPENI ZA CCM JIMBONI KALENGA LEO
Wananchi wakimshangilia mgombea wa CCM, katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa, alipohutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Sadani, Kata ya Mseke, leo Machi 9, 2014. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Joyce Msambatavangu, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha …
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania