Samia atumia kongamano la wanawake kupiga kampeni
Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan jana alitumia fursa aliyopata katika Kongamano la Wanawake wa Vyuo vikuu na Wanataaluma, lililowakutanisha wagombea wanawake wa vyama vyote vya siasa kukiombea kura chama chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/5-b.jpg?width=650)
SAMIA SULUHU AZURU KONGAMANO LA WANAWAKE DAR
10 years ago
VijimamboWLAC YAENDESHA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI KUPIGA KURA KWA WANAWAKE WALIO KATIKA MAKUNDI MAALUMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING
![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Nape atumia muda wa kampeni kutukana
Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MJUMBE wa Kamati ya Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ametumia muda wote aliopewa kumnadi mgombeaa urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli kumtukana mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayewakilisha Ukawa, Edward Lowassa pamoja na viongozi wenzake.
Katika mkutano huo uliofanyika jana katika viwanja vya Samora mjini Iringa na kurushwa moja kwa moja katika Kituo cha...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA UVCCM UDSM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-byd7t_f1lmM/XklsYwpujxI/AAAAAAALdl0/HWmiUbl7Yd4WluE2aIcmDPQYeiZ-ph6BQCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2956-2.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA AZINDUA KONGAMANO LA UVCCM WASICHANA UDSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-byd7t_f1lmM/XklsYwpujxI/AAAAAAALdl0/HWmiUbl7Yd4WluE2aIcmDPQYeiZ-ph6BQCLcBGAsYHQ/s640/F87A2956-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/F87A2895-2-1.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Sep
Kero ya maji yagubika kampeni za Samia
Takribani mikoa sita ambayo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amefanya kampeni zake, amepokea matatizo kadhaa, lakini tatizo kubwa linalokabili mikoa hiyo ni maji.