Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia

Wanaume kadhaa wa eneo la Sirari, jana walishindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan baada ya kuvutiwa na sera zake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Samia atumia kongamano la wanawake kupiga kampeni

Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan jana alitumia fursa aliyopata katika Kongamano la Wanawake wa Vyuo vikuu na Wanataaluma, lililowakutanisha wagombea wanawake wa vyama vyote vya siasa kukiombea kura chama chake.

 

5 years ago

CCM Blog

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIVYORINDIMA KITAIFA MBELE YA MAMA SAMIA WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU, LEO

Wanawake wakiwa kwenye Bajaji iliyokuwa ikiendeshwa na mwanamke mwenzao wakati wa Maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo.

Wanawake wakiwa kwenye maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo....

 

10 years ago

Mtanzania

Magufuli aibuka na pushapu

g2*Asema ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya kweli

Na Bakari Kimwanga, Karagwe

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ametoa mpya baada ya kuibuka na staili mpya ya kuomba kura kwa mtindo wa kupiga pushapu akiwa jukwaani.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuomba kura, huku akisema ana nguvu za kuwatumikia kwa dhati na kuomba aoneshe jukwaani kama ana nguvu kweli.

Dk. Magufuli aliibuka na mtindo huo jana katika mkutano wake wa pili wa kampeni mjini Kagarwe mkoani...

 

11 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe washindana kushangilia bungeni

>Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgambo yawapigia ‘pushapu’ Mtibwa

KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amesema kwa sasa wanajipanga kwa mechi yao dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro itakayochezwa Jumamosi wakitaka kushinda kuzidi kujiweka...

 

10 years ago

Habarileo

Pushapu za Magufuli zahamia Ligi Kuu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga JerryTegete, amesema aina ya ushangiliaji wao wa timu yake ya Mwadui FC waliouonesha juzi walipocheza na Yanga, wameuiga kwa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliyekuwa akipiga pushapu katika baadhi ya mikutano yake.

 

10 years ago

GPL

DAVINA, CATHY WASHINDANA KUKATA MAUNO

Hamida Hassan MASTAA wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ na Sabrina Rupia ‘Cathy’ walinaswa wakishindana kuyakata mauno vilivyo katika sherehe ya kibao kata kiasi ambacho wahudhuriaji wote walipata wakati mgumu kuamua nani mshindi kati yao. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es Salaam ambapo wasanii hao walikuwa wamekwenda kwenye sherehe ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAHABARI WASHINDANA KUTAMBUA LADHA ZA BIA ZA TBL, DAR

 Meneja uzalishaji wa TBL, Bw. Charles Nkondola akikabidhi zawadi ya bia aina ya Kilimanjaro Twist kwa mshindi wa tatu wa kutambua aina ya ladha ya Bia za  Kampuni ya Bia Tanzania (TB)L, Aloyce Ndeileko wa This Day, iliyofantika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Wanahabari wakisikiliza kwa makini masharti ya ushindi ya muomnjaji bora wa ladha za bia za TBL Mpishi Mkuu / Brew Master Kiwanda cha Bia cha TBL, Dar es Salaam, Bw. Benjamin Budigila (kulia), akitoa maelezo kwa waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani