Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia
Wanaume kadhaa wa eneo la Sirari, jana walishindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan baada ya kuvutiwa na sera zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Sep
Samia atumia kongamano la wanawake kupiga kampeni
5 years ago
CCM BlogMAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIVYORINDIMA KITAIFA MBELE YA MAMA SAMIA WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU, LEO
Wanawake wakiwa kwenye maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo....
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Magufuli aibuka na pushapu
*Asema ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya kweli
Na Bakari Kimwanga, Karagwe
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ametoa mpya baada ya kuibuka na staili mpya ya kuomba kura kwa mtindo wa kupiga pushapu akiwa jukwaani.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuomba kura, huku akisema ana nguvu za kuwatumikia kwa dhati na kuomba aoneshe jukwaani kama ana nguvu kweli.
Dk. Magufuli aliibuka na mtindo huo jana katika mkutano wake wa pili wa kampeni mjini Kagarwe mkoani...
11 years ago
Vijimambo
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Wajumbe washindana kushangilia bungeni
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mgambo yawapigia ‘pushapu’ Mtibwa
KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amesema kwa sasa wanajipanga kwa mechi yao dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro itakayochezwa Jumamosi wakitaka kushinda kuzidi kujiweka...
10 years ago
Habarileo30 Oct
Pushapu za Magufuli zahamia Ligi Kuu
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga JerryTegete, amesema aina ya ushangiliaji wao wa timu yake ya Mwadui FC waliouonesha juzi walipocheza na Yanga, wameuiga kwa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliyekuwa akipiga pushapu katika baadhi ya mikutano yake.
10 years ago
GPL
DAVINA, CATHY WASHINDANA KUKATA MAUNO
10 years ago
VijimamboWANAHABARI WASHINDANA KUTAMBUA LADHA ZA BIA ZA TBL, DAR