Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA, CATHY WASHINDANA KUKATA MAUNO

Hamida Hassan MASTAA wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ na Sabrina Rupia ‘Cathy’ walinaswa wakishindana kuyakata mauno vilivyo katika sherehe ya kibao kata kiasi ambacho wahudhuriaji wote walipata wakati mgumu kuamua nani mshindi kati yao. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es Salaam ambapo wasanii hao walikuwa wamekwenda kwenye sherehe ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe washindana kushangilia bungeni

>Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Mwananchi

Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia

Wanaume kadhaa wa eneo la Sirari, jana walishindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan baada ya kuvutiwa na sera zake.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAHABARI WASHINDANA KUTAMBUA LADHA ZA BIA ZA TBL, DAR

 Meneja uzalishaji wa TBL, Bw. Charles Nkondola akikabidhi zawadi ya bia aina ya Kilimanjaro Twist kwa mshindi wa tatu wa kutambua aina ya ladha ya Bia za  Kampuni ya Bia Tanzania (TB)L, Aloyce Ndeileko wa This Day, iliyofantika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Wanahabari wakisikiliza kwa makini masharti ya ushindi ya muomnjaji bora wa ladha za bia za TBL Mpishi Mkuu / Brew Master Kiwanda cha Bia cha TBL, Dar es Salaam, Bw. Benjamin Budigila (kulia), akitoa maelezo kwa waandishi wa habari...

 

10 years ago

GPL

WAREMBO CHINA WASHINDANA KUTUPIA PICHA MTANDAONI WAKIONYESHA NYWELE ZAO ZA MAKWAPANI

KATIKA hali ya kushangaza mastaa mbalimbali na warembo  nchini China wameamua kutupia picha zao mitandaoni wakionyesha nywele zao za makwapani katika kushiriki shindano la picha za kwapani kwa wanawake. Mwanzilishi wa shindano hilo, Xiao Yue anasema uzuri wa mwanamke si lazima asiwe na nywele kwapani na kuongeza kuwa shindano hilo halimaanishi kuwa wanawake wasinyoe nywele hizo ila nia yake ni kuondoa dhana potofu kuwa nywele...

 

10 years ago

GPL

VIDEO YA MAUNO YAMTESA AMANDA

Gladness Mallya
VIDEO inayomuonyesha msichana anayefanana kwa sura na umbo na staa wa filamu, Amanda Poshi, imemfanya msanii huyo ajikute katika mateso makubwa kisaikolojia, kwani wengi wanaamini ni yeye. Staa wa filamu za kibongo, Amanda Poshi. Akizungumza na gazeti hili, Amanda alisema ameumizwa sana na video hiyo ambapo mwanamke huyo anakata mauno ya haja kwani imesambaa sehemu mbalimbali kiasi cha baadhi ya watu kuwapigia...

 

11 years ago

GPL

SHIJA ANASWA AKIKATA MAUNO

Na Hamida Hassn na Glaness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ‘Shija’ alinaswa akiyakata mauno kama hana akili nzuri. Staa wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ‘Shija’ akikata mauno. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji Aunt Ezekiel kulipokuwa na sherehe ya mtoto kutimiza siku arobaini tangu kuzaliwa ambapo staa huyo alidaiwa kufanya hivyo akiwa na ‘akili...

 

11 years ago

GPL

FLORA AFUNIKA KWA MAUNO

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi amenaswa akiwafunika vibaya mastaa wenzake kwa kunengua. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi. Mpambano huo usio rasmi ulichukuwa nafasi wiki iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha, Masaki jijini Dar ambapo kulikuwa na shoo maarufu kwa jina la Bunyerobunyero. Flora alipoulizwa na mwanahabari wetu juu ya ufundi huo wa kucheza Kibao Kata kilichokuwa kikipigwa na kuwazidi mastaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani