Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FLORA AFUNIKA KWA MAUNO

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi amenaswa akiwafunika vibaya mastaa wenzake kwa kunengua. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi. Mpambano huo usio rasmi ulichukuwa nafasi wiki iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha, Masaki jijini Dar ambapo kulikuwa na shoo maarufu kwa jina la Bunyerobunyero. Flora alipoulizwa na mwanahabari wetu juu ya ufundi huo wa kucheza Kibao Kata kilichokuwa kikipigwa na kuwazidi mastaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BONGO MUVI WAFUNIKA KWA MAUNO

Stori: Shakoor Jongo na Emelder Tarimo MASTAA  wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’, Salma Salim ‘Sandra’ na Rose Ndauka juzi walikuwa kivutio kwa wananchi waishio maeneo ya Kinondoni jijini Dar baada ya kushindana kuzungusha nyonga. Staa wa filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’. Mastaa hao walifanya tukio hilo katika sherehe za kuwasimika ukamanda wa vijana Tawi la...

 

11 years ago

GPL

SNURA AWAPAGAWISHA MASHABIKI KWA MAUNO DAR LIVE

Mwanadada Snura Mushi 'Mamaa Majanga' usiku wa kuamkia leo amewapagawisha vilivyo mashabiki wa Dar Live baada ya kudondosha bonge la shoo sambamba na vijana wake.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AFUNIKA KWA NYUMBANI KWA DK. SLAA

 Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Mkoani Manyara leo Oktoba 9, 2015. Picha zote na Othman Michuzi.
  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa...

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)

TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU

YA KIFO CHA MPENDWA WETU

FLORA FLOWIN MKANULA

(1993 – 2013)

___________________________________


Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi.  Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Lowassa afunika nyumbani Kwa Dk. Slaa

  Sehemu ya wananchi wa Mji wa Karatu, wakionyesha furaha yao baada ya kuiona Chopa inayotumiwa na Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano, Mjini Karatu, Mkoani Manyara  Oktoba 9, 2015. Kikundi cha Ngoma ya Asili kikitoa Burudani katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika...

 

10 years ago

Mtanzania

H. Baba: Tunazaa kwa mipango na Flora

h-baba na floraNA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
STAA wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan ‘H. Baba’, ni kama amejibu maneno yaliyokuwa yakizungumzwa na mashabiki wake juu ya ujauzito wa mkewe, baada ya kudai kuwa wanazaa kwa mipango.
H.Baba aliyasema hayo hivi karibuni na kusema kuwa yeye na mkewe ambaye pia ni mwigizaji wa filamu, Flora Mvungi, wamepanga kuzaa kulingana na mahitaji yao na muda wautakao, hivyo maneno yanayosemwa juu ya Flora kubeba mimba mtoto wao Tanzanite akiwa bado mdogo ni kuwakosea na...

 

9 years ago

GPL

PENZI KWA FLORA, NAMSHANGAA SANA MBASHA!

MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Emmanuel Mbasha ameshinda kesi yake ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili, aliyotuhumiwa kumfanyia kitendo hicho msichana aliyekuwa akiwasaidia kazi za ndani ya nyumba yake na aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha. Emmanuel Mbasha alidaiwa kufanya kitendo hicho mara mbili kwa msichana huyo, kitu ambacho ni kinyume cha sheria za nchi. Hata hivyo, baada ya takriban mwaka mmoja na ushee, wa kusikiliza pande...

 

11 years ago

GPL

MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI

Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha anayetuhumiwa kwa ubakaji. Taarifa zilizopatikana  ndani  ya  jeshi hilo...

 

10 years ago

GPL

FLORA, H-BABA WAMFUNIKA WEMA KWA MJENGO

Stori: Gladness Mallya HESHIMA! Wanandoa, muigizaji Flora Mvungi ‘H.Mama’ na mwanamuziki Hamis Ramadhan ‘H.Baba’ wamemfunika mwigizaji Wema Sepetu kwa kupanga ghorofa. Mjengo wa wanandoa, muigizaji Flora Mvungi ‘H.Mama’ na mwanamuziki Hamis Ramadhan ‘H.Baba’ Akizungumzia mjengo huo walioupanga maeneo ya Mbezi-Jogoo, jijini Dar, H. Mama alisema yeye na mume wake wameamua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani