Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONGO MUVI WAFUNIKA KWA MAUNO

Stori: Shakoor Jongo na Emelder Tarimo MASTAA  wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’, Salma Salim ‘Sandra’ na Rose Ndauka juzi walikuwa kivutio kwa wananchi waishio maeneo ya Kinondoni jijini Dar baada ya kushindana kuzungusha nyonga. Staa wa filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’. Mastaa hao walifanya tukio hilo katika sherehe za kuwasimika ukamanda wa vijana Tawi la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TUNDAMAN, SNURA, BONGO MUVI WAFUNIKA KANUMBA DAY

Msanii wa kundi la Tip Top Connection Khalid Ramadhan 'Tundaman' akiwapagawisha mashabiki katika Kanumba Day. Snura Mushi 'Mamaa Majanga' akifanya yake stejini usiku huu ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

GPL

WASTARA: BONGO MUVI TUMECHAFUKA KWA JK

Stori: Mayasa Mariwata
Neno! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma, bila kumung’unya maneno amefunguka kwamba kufuatia mfarakano ndani ya Klabu ya Bongo Movie Unity hadi kufikia hatua ya aliyekuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kujiuzulu, kumewachafua kwa viongozi serikalini hasa Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma. Akizungumza na...

 

11 years ago

GPL

MSANII BONGO MUVI AFARIKI KWA AJALI

Stori: Gladness Mallya TASNIA ya filamu Bongo imepata pigo tena baada ya msanii aliyekuwa akichipukia kwa kasi, Patrick August ‘Bryton’ kufariki dunia kwa ajali mbaya ya pikipiki.Akizungumza na paparazi wetu, Mwenyekiti wa Sherehe na Maafa kwa wasanii wa Wilaya ya Kinondoni, Masoud Kaftany alisema Bryton alipata ajali usiku wa kuamkia Jumapili maeneo ya Tabata - Relini wakati akirejea kwao maeneo ya Tabata -...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI WAWATUMA WAZEE KWA MWAKIFWAMBA

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba akifafanua jambo kwa wanahabari wa GPL. Stori: Hamida Hassan Uongozi wa Bongo Muvi Unity umewatuma wazee akiwemo Ahmed Ollotu ‘Mzee Chilo’ kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff), Simon Mwakifwamba kuhakikisha wanamaliza tofauti zao ili wawe kitu kimoja. Ahmed Ollotu ‘Mzee… ...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI KIMENUKA

Na Hamida Hassan
BONGO Muvi kimenuka! Viongozi wapya wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenyekiti) na William Mtitu (katibu), wametofautiana kauli na kuanza kurushiana maneno mazito wakitaka kukunjana mbele ya wajumbe wa klabu hiyo. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Chanzo makini kilitonya kuwa, kilichosababisha kuibuka kwa ugomvi huo ni baada ya...

 

10 years ago

GPL

BONGO MUVI WACHAFUKA!

Na: Gladness Mallya na Imelda Mtema
JAMBO limezua jambo! Baada ya hivi karibuni wasanii wa Bongo Muvi (Movie) kufanya dua kwa ajili ya wenzao waliofariki dunia, baadhi ya ndugu wa marehemu wamecharuka na kudai kuwa waandaaji wa kisomo hicho walifanya kwa manufaa yao binafsi. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ . Kwa mujibu wa chanzo makini, baadhi ya ndugu wa marehemu wanalalamika kuwa...

 

11 years ago

GPL

MISS BONGO MUVI KUSAKWA

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. Stori: Hamida Hassan
MWENYEKITI wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’ amesema watafanya shindano la kumsaka mlimbwende wa kundi lao, siku ya sherehe ya kuadhimisha miaka mitatu ya klabu hiyo ambayo itafanyika Machi 28, mwaka huu. Akizungumza na Stori Mix, Nyerere alisema, wana imani ndani ya kundi lao kuna walimbwende wengi hivyo wametoa nafasi ya kuwashindanisha...

 

11 years ago

GPL

MTANDAO WA NGONO BONGO MUVI

Na Waandishi Wetu
NDANI ya klabu ya mastaa wa sinema za Kibongo, Bongo Movie Unity (au Bongo Muvi), kumetibuka upya baada ya mwenyekiti na kiongozi mpya wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kuanika makubwa na mazito juu ya uchafu, ufuska na mtandao nzima wa ‘kushea’ wapenzi miongoni mwao, aya zinazofuata zitakupa mwanga. Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ Akiwa amezungukwa na jopo...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI KWAWAKA MOTO

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan PENYE wengi pana mengi! Lile kundi la mastaa waigizaji wa Kibongo, Bongo Movie Unity, linadaiwa kuparanganyika baada ya kuwaka moto kufuatia mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kudaiwa kuwa na upendeleo kwa baadhi ya wanachama wa jinsia ya kike. Mmoja wa waasisi wa Bongo Muvi Jimmy mafufu (kushoto), Mtitu na baadhi ya wadau wa Bongo Muvi pichani. Habari za uhakika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani