Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa afunika nyumbani Kwa Dk. Slaa

  Sehemu ya wananchi wa Mji wa Karatu, wakionyesha furaha yao baada ya kuiona Chopa inayotumiwa na Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano, Mjini Karatu, Mkoani Manyara  Oktoba 9, 2015. Kikundi cha Ngoma ya Asili kikitoa Burudani katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AFUNIKA KWA NYUMBANI KWA DK. SLAA

 Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Mkoani Manyara leo Oktoba 9, 2015. Picha zote na Othman Michuzi.
  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbowe: Kwa nini Lowassa, si Dk Slaa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alitua kwa mara ya kwanza kwenye Jimbo la Karatu ambako Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alitumia nafasi hiyo kuwaeleza wananchi sababu za kumuacha Dk Willibrod Slaa kugombea urais na badala yake kumteua waziri huyo mkuu wa zamani.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa atetemesha nyumbani kwa Pinda

MMGL0725WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata wadhamini zaidi ya 7000 katika mikoa ya Katavi na Rukwa, ambako ni nyumbani kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye naye anawania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Akiwa mkoani Katavi ambao ni mkoa mpya alikozaliwa Waziri Mkuu Pinda, alipata wadhamini 3,450 huku Rukwa akipata wadhamini zaidi ya 4000.
Mkoa wa Katavi kabla ya kuwagawanywa ulikuwa unaunda mkoa wa Rukwa.
Lowassa aliwasili jana mchana mkoani Katavi akitokea Mkoa wa Kigoma na...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa afunika Arusha

Arusha. Shughuli mbalimbali jijini Arusha jana zilisimama kwa muda wakati umati wa watu ulipofurika kumlaki Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa aliyewasili mkoani hapa kwa ajili ya kuendesha harambee ya ujenzi wa Msikiti wa Patandi ulioko wilayani Arumeru.

 

10 years ago

Mtanzania

LOWASSA AFUNIKA DAR ES SALAAM

LOWASSANA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

JIJI la Dar es Salaam limezizima kwa takribani saa 13 jana wakati maelfu ya wafuasi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) walipomsindikiza mgombea urais wa umoja huo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Wafuasi hao ambao hawakuonyesha kuchoka wala kupata muda wa kula, walianza kufika ofisi za makao makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni kuanzia saa 11:00 alfajiri kumsubiri Lowassa na viongozi...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AFUNIKA KYELA MKOANI MBEYA

  Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi wa Kyela Mkoani Mbeya katika Mkutano wa Kampeni uliofanyika jumatatu  tarehe 19/10/2015 
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa wananchi wa Kyela...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Kihistoria tena Mbeya, Edward Lowassa afunika umati wafurika!


Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu”, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini Mbeya leo Oktoba 18, 2015.


Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Mbeya mjini katika viwanja vya Rwanda-nzovwe jijini Mbeya leo Jumapili 18/10/2015,akiomba kura pamoja na kunadi sera...

 

10 years ago

Mtanzania

Ni Lowassa vs Slaa

Lowassa vs SlaaFredy Azzah na Elias Msuya

RIPOTI ya utafiti ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imeonesha kuwa asilimia 47 ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, hawatarejea bungeni katika uchaguzi mkuu ujao.

Utafiti huo ujulikanao kama sauti za wananchi ulifanywa kwa njia ya simu ambapo mwaka 2012 watu waliohojiwa ni 2,000,  mwaka 2013 1,574 na mwaka 2014 watu waliohojiwa ni 1,445.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa, asilimia 47 ya wananachi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani