Lowassa atetemesha nyumbani kwa Pinda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata wadhamini zaidi ya 7000 katika mikoa ya Katavi na Rukwa, ambako ni nyumbani kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye naye anawania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Akiwa mkoani Katavi ambao ni mkoa mpya alikozaliwa Waziri Mkuu Pinda, alipata wadhamini 3,450 huku Rukwa akipata wadhamini zaidi ya 4000.
Mkoa wa Katavi kabla ya kuwagawanywa ulikuwa unaunda mkoa wa Rukwa.
Lowassa aliwasili jana mchana mkoani Katavi akitokea Mkoa wa Kigoma na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Lowassa afunika nyumbani Kwa Dk. Slaa



10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AFUNIKA KWA NYUMBANI KWA DK. SLAA



10 years ago
Vijimambo
Mama Suluhu Hassani 'Atetemesha' Jimbo la Itilima, Simiyu




10 years ago
Raia Mwema07 Oct
Lowassa na Magufuli, nabii hakubaliki nyumbani
UKIONA nabii anakubalika nyumbani, anasifiwa na kupongezwa, ujue huyo hafanyi kazi zake za kinabi
Privatus Karugendo
11 years ago
GPL
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda aandaa futari nyumbani kwake Dar


11 years ago
GPL
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AANDAA FUTARI NYUMBANI KWAKE DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Pinda amtibua Lowassa
UJIO wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kinyang’anyiro cha urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umetibua mipango ya kada wenzake, Edward Lowassa na kubadili kabisa upepo wa kiasiasa, Tanzania...