Lowassa atetemesha nyumbani kwa Pinda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata wadhamini zaidi ya 7000 katika mikoa ya Katavi na Rukwa, ambako ni nyumbani kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye naye anawania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Akiwa mkoani Katavi ambao ni mkoa mpya alikozaliwa Waziri Mkuu Pinda, alipata wadhamini 3,450 huku Rukwa akipata wadhamini zaidi ya 4000.
Mkoa wa Katavi kabla ya kuwagawanywa ulikuwa unaunda mkoa wa Rukwa.
Lowassa aliwasili jana mchana mkoani Katavi akitokea Mkoa wa Kigoma na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Lowassa afunika nyumbani Kwa Dk. Slaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQGH_xydqHc/Vhf0SK9CCxI/AAAAAAAAD-w/4cbW8olxy1A/s640/OTH_5793.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yRm2iGPw8e0/Vhf0UNBL_FI/AAAAAAAAD_A/shed6ZJXrvw/s640/OTH_5819.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KmzRXKKYkPw/Vhf0XJIGJtI/AAAAAAAAD_M/4z6pU8dlf_E/s640/OTH_5895.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nGgbF4id45o/Vhfj9i8khgI/AAAAAAABW5M/EbQsY1D2Hz4/s72-c/OTH_6374.jpg)
LOWASSA AFUNIKA KWA NYUMBANI KWA DK. SLAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nGgbF4id45o/Vhfj9i8khgI/AAAAAAABW5M/EbQsY1D2Hz4/s640/OTH_6374.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0IBpqV3cSik/Vhfj9sWZl2I/AAAAAAABW5Q/larOsTwk1a4/s640/OTH_6507.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IiOkvxoyenU/Vhfj40xw8-I/AAAAAAABW4s/nEEYl5muVNQ/s640/OTH_6083.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-oYwspnpC2xI/Vg776_w1m_I/AAAAAAAAEao/bBt0WY-m4xw/s72-c/IMG_0459.jpg)
Mama Suluhu Hassani 'Atetemesha' Jimbo la Itilima, Simiyu
![](http://4.bp.blogspot.com/-oYwspnpC2xI/Vg776_w1m_I/AAAAAAAAEao/bBt0WY-m4xw/s640/IMG_0459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NK8x6cKJNy8/Vg777BlHe_I/AAAAAAAAEak/l8mvHyvIpMc/s640/IMG_0463.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tw3XVzAeg3U/Vg77tKUODrI/AAAAAAAAEYg/frgtQCyoKbo/s640/IMG_0248.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZrjT7JNZNck/Vg77tTz3LHI/AAAAAAAAEYk/VyoFc27YkCY/s640/IMG_0256.jpg)
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Lowassa na Magufuli, nabii hakubaliki nyumbani
UKIONA nabii anakubalika nyumbani, anasifiwa na kupongezwa, ujue huyo hafanyi kazi zake za kinabi
Privatus Karugendo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4cvPRsQZxTPCxcvyaJIbJznlhD4i7bvHxUTiH*BjDzww*iOyXW-OGo7VqH8EGXabMgbTXUK3zFvWnjsSKGinn5S/lowasaaacopy.jpg?width=650)
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda aandaa futari nyumbani kwake Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-8scAUJf5AV8/U9QIjZicJQI/AAAAAAAF6qc/AXWBa3ZKPag/s1600/p1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YsutPE_HLE/U9QIudbQsOI/AAAAAAAF6rw/z0kre0Ofx1w/s1600/p2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-8scAUJf5AV8/U9QIjZicJQI/AAAAAAAF6qc/AXWBa3ZKPag/s1600/p1.jpg?width=640)
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AANDAA FUTARI NYUMBANI KWAKE DAR ES SALAAM
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Pinda amtibua Lowassa
UJIO wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kinyang’anyiro cha urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umetibua mipango ya kada wenzake, Edward Lowassa na kubadili kabisa upepo wa kiasiasa, Tanzania...