Wajumbe washindana kushangilia bungeni
>Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggCM3umktCY/U3gbVEODeXI/AAAAAAAFiyk/SY8S0LnqiNw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AUNGANA NA MAAFISAWAKE KUSHANGILIA KUPITISHWA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, BUNGENI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggCM3umktCY/U3gbVEODeXI/AAAAAAAFiyk/SY8S0LnqiNw/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LWpICUsl94Y/U3gbVDuxcHI/AAAAAAAFiyM/ZvoBdz_mPQ8/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wajumbe tisa hawajaripoti bungeni
>Wakati wajumbe tisa kati ya 629 wa Bunge Maalumu la Katiba, hawajaonekana bungeni tangu lilipoanza shughuli zake Februari 18, mwaka huu, Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hawezi kuwachukulia hatua na badala yake wenye uwezo huo ni makundi wanayotoka.
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Muungano wawagawa wajumbe bungeni
Majadiliano juu ya Muundo wa Muungano yameanza kuwagawa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba, baada ya baadhi yao kupendekeza yasogezwe mbele ili kuepuka kuligawa Bunge mapema na wengine wakitaka mjadala huo ufanyike kama ilivyowekwa katika Rasimu ya Katiba.
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Rage: Wajumbe waliosusa wasirudi bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Rage, ametaka bunge hilo kutowaruhusu kurudi bungeni wajumbe waliosusa. Rage alitoa kauli hiyo bungeni jana baada ya kuomba muongozo wa Mwenyekiti. Alisema hivi...
10 years ago
MichuziWajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni
Na Rose Masaka-MAELEZOViongozi wa vyama vya siasa waliopo nje ya Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kurejea bungeni ili kufanya maridhiano ndani ya bunge hilo.
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni
Pendekezo la muundo wa Muungano kuwa wa serikali tatu lililomo kwenye Rasimu ya Katiba, linaonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wametakiwa kuwa na nidhamu na kuheshimu muda uliowekwa, kwa ajili ya vikao vya Bunge hilo badala ya kuendeleza malumbano yasiyokuwa na tija kwa Taifa.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni
Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima amesema kuna baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba walioko nje, wamekuwa wakijipitisha “pembezoni mwa ukuta wa Bunge na wengine kupiga mluzi kutaka marafiki zao wawaandike majina†ili wapate posho.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania