Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rage: Wajumbe waliosusa wasirudi bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Rage, ametaka bunge hilo kutowaruhusu kurudi bungeni wajumbe waliosusa. Rage alitoa kauli hiyo bungeni jana baada ya kuomba muongozo wa Mwenyekiti. Alisema hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘JK atengue uteuzi wa wajumbe waliosusa’

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameombwa kumshauri Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa wajumbe wa kundi la 201 waliosusia kikao cha juzi na kutoka nje. Ombi hilo...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka wajumbe waliosusa walaaniwe

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wamesema kitendo walichofanya wajumbe wenzao wa Umoja wa Katiba wa Wananchi (Ukawa) kutoka nje ya Bunge wakati mjadala wa Rasimu ya Katiba mpya ukiendelea, ni cha kulaaniwa na kukemewa na kila Mtanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamwendea Rage bungeni

HARAKATI za kumwondoa madarakani Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutuvengere’, zimezidi kushika kasi baada ya wanachama kuamua kufunga safari kutoka jijini Dar es Salaam hadi mjini Dodoma...

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano wawagawa wajumbe bungeni

Majadiliano juu ya Muundo wa Muungano yameanza kuwagawa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba, baada ya baadhi yao kupendekeza yasogezwe mbele ili kuepuka kuligawa Bunge mapema na wengine wakitaka mjadala huo ufanyike kama ilivyowekwa katika Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe tisa hawajaripoti bungeni

>Wakati wajumbe tisa kati ya 629 wa Bunge Maalumu la Katiba, hawajaonekana bungeni tangu lilipoanza shughuli zake Februari 18, mwaka huu, Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hawezi kuwachukulia hatua na badala yake wenye uwezo huo ni makundi wanayotoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe washindana kushangilia bungeni

>Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni

Na Rose Masaka-MAELEZOViongozi wa vyama vya siasa waliopo nje ya Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kurejea bungeni ili kufanya maridhiano ndani ya bunge hilo.
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni

Pendekezo la muundo wa Muungano kuwa wa serikali tatu lililomo kwenye Rasimu ya Katiba, linaonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wametakiwa kuwa na nidhamu na kuheshimu muda uliowekwa, kwa ajili ya vikao vya Bunge hilo badala ya kuendeleza malumbano yasiyokuwa na tija kwa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani