Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘JK atengue uteuzi wa wajumbe waliosusa’

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameombwa kumshauri Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa wajumbe wa kundi la 201 waliosusia kikao cha juzi na kutoka nje. Ombi hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wataka wajumbe waliosusa walaaniwe

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wamesema kitendo walichofanya wajumbe wenzao wa Umoja wa Katiba wa Wananchi (Ukawa) kutoka nje ya Bunge wakati mjadala wa Rasimu ya Katiba mpya ukiendelea, ni cha kulaaniwa na kukemewa na kila Mtanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage: Wajumbe waliosusa wasirudi bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Rage, ametaka bunge hilo kutowaruhusu kurudi bungeni wajumbe waliosusa. Rage alitoa kauli hiyo bungeni jana baada ya kuomba muongozo wa Mwenyekiti. Alisema hivi...

 

11 years ago

Mwananchi

Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba wapondwa

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, wasomi, wanasiasa na wanaharakati wameuponda wakisema umependelea wanasiasa, badala ya wananchi walio nje ya mfumo huo.

 

11 years ago

GPL

UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Wanahabari wakimsikiliza  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhe.  Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba  yakitangazwa jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jijini Dar es Salaam. Bunge la Katiba litakalokuwa na wajumbe 640, litakutana kwa siku 70 (na kuongezewa siku 20 kama hawatoafikiana)  kujadili Rasimu ya Katiba iliyotolewa na...

 

11 years ago

GPL

UTEUZI WA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA

TAARIFA KWA UMMA
UTEUZI WA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Prof. Penina Mlama kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Uteuzi huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Vyuo Vikuu ya mwaka 2005 na hati idhini ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Uteuzi huo ni wa kipindi cha miaka mitatu...

 

9 years ago

Michuzi

UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MALIASILI NA UTALII TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma kuwa, Bodi mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania  (Tanzania Wildlife Authority -TAWA),  imeteuliwa rasmi kuanzia tarehe 09 mwezi  Septemba, 2015. Katika uteuzi huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani