Muungano wawagawa wajumbe bungeni
Majadiliano juu ya Muundo wa Muungano yameanza kuwagawa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba, baada ya baadhi yao kupendekeza yasogezwe mbele ili kuepuka kuligawa Bunge mapema na wengine wakitaka mjadala huo ufanyike kama ilivyowekwa katika Rasimu ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Wajumbe washindana kushangilia bungeni
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wajumbe tisa hawajaripoti bungeni
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Rage: Wajumbe waliosusa wasirudi bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Rage, ametaka bunge hilo kutowaruhusu kurudi bungeni wajumbe waliosusa. Rage alitoa kauli hiyo bungeni jana baada ya kuomba muongozo wa Mwenyekiti. Alisema hivi...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni
10 years ago
MichuziWajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Hati ya Muungano yatinga bungeni
HATIMAYE serikali imewasilisha bungeni nakala ya hati halisi ya makubaliano ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964. Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, aliwatangazia wajumbe bungeni jana...