Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni

Pendekezo la muundo wa Muungano kuwa wa serikali tatu lililomo kwenye Rasimu ya Katiba, linaonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe Bunge la Katiba hawa hapa

SERIKALI imetangaza majina 201 ya wajumbe kutoka makundi mbalimbali nchini walioomba kuteuliwa ili kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Kabla ya kutangaza majina hayo kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete,...

 

11 years ago

Mwananchi

Manyanga: Wajumbe hawa wapendelewe Bunge la Katiba

Kitendo cha Tume ya Mabadiliko ya Katiba kupendekeza Muundo wa Serikali tatu katika Rasimu ya Katiba, kimeonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.

 

10 years ago

GPL

BORA WASANII HAWA BUNGENI!

JOTO la Uchaguzi Mkuu linazidi kupanda miongoni mwa wanasiasa kutoka vyama mbalimbali vya kisiasa, huku idadi kubwa ya wasanii wakionesha nia ya kutaka kuitwa waheshimiwa kuanzia mwishoni mwa Oktoba mwaka huu. Hadi sasa baadhi ya waliotangaza nia ni Joseph Haule (Profesa Jay), Zuwena Mohamed (Shilole), Wema Sepetu, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, Jacob Stephen (JB), Mrisho Mpoto na wengineo kadhaa, wakitaka kwenda...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je watoto hawa wanawezaje kupata dola milioni moja kupitia mtandao?

Watoto wenye ushawishi kwa watoto wenzao walifanya jaribio la mamlaka waliyonayo katika onyesho la mwaka la New York la wanasesere.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe tisa hawajaripoti bungeni

>Wakati wajumbe tisa kati ya 629 wa Bunge Maalumu la Katiba, hawajaonekana bungeni tangu lilipoanza shughuli zake Februari 18, mwaka huu, Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hawezi kuwachukulia hatua na badala yake wenye uwezo huo ni makundi wanayotoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano wawagawa wajumbe bungeni

Majadiliano juu ya Muundo wa Muungano yameanza kuwagawa baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba, baada ya baadhi yao kupendekeza yasogezwe mbele ili kuepuka kuligawa Bunge mapema na wengine wakitaka mjadala huo ufanyike kama ilivyowekwa katika Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe washindana kushangilia bungeni

>Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA UREMBO NIKUOLEWA BASI HAWA WASHINDWE WENYEWE KUPATA WAUME KWANI NI WAREMBO HASWA.


Hamisa MobetoMeninah Abdulkareem
Hamisa MobetoLulu Michael
Pitia  picha za warembo hawa watatu na utakubari kuwa wanaurembo na kama wanatulia na kuolewa basi mume hawezi kuchelewa kurudi nyumbani.

Meninah AbdulkareemAdd captionLulu MichaelHamisa MobetoLulu MichaelMeninah la Diva

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage: Wajumbe waliosusa wasirudi bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Rage, ametaka bunge hilo kutowaruhusu kurudi bungeni wajumbe waliosusa. Rage alitoa kauli hiyo bungeni jana baada ya kuomba muongozo wa Mwenyekiti. Alisema hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani