Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BORA WASANII HAWA BUNGENI!

JOTO la Uchaguzi Mkuu linazidi kupanda miongoni mwa wanasiasa kutoka vyama mbalimbali vya kisiasa, huku idadi kubwa ya wasanii wakionesha nia ya kutaka kuitwa waheshimiwa kuanzia mwishoni mwa Oktoba mwaka huu. Hadi sasa baadhi ya waliotangaza nia ni Joseph Haule (Profesa Jay), Zuwena Mohamed (Shilole), Wema Sepetu, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, Jacob Stephen (JB), Mrisho Mpoto na wengineo kadhaa, wakitaka kwenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe hawa wanapaswa kupata upendeleo bungeni

Pendekezo la muundo wa Muungano kuwa wa serikali tatu lililomo kwenye Rasimu ya Katiba, linaonekana kuwagawa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa wanasiasa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Awapa Makavu Wasanii Hawa

Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ambaye ameshapitishwa na hama chake cha CCM kuwania ubunge wa viti maalum amewapa makavu baadhi ya wasanii wenzake wa bongo movies ambao hawakiungio mkono chama cha mapinduzi wakati baadhi yao walikuwa karibu sana na Rais Kikwete anaye maliza muda wake.

Kupitia kurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram,  Uwoya awachana wa sanii hao kuwa yule wa nao muunga mkono hakuwahi kuwathamini hata siku moja.

"Sasa narudi kwa wasaniii wasio jitambua!katika tasnia...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasanii hawa wamepeta Uchaguzi Mkuu 2015

Wakati fomu za ushiriki wa urais, wabunge, viti maalumu na udiwani zilipoanza kutolewa, wengi walijitokeza kushiriki kwa kujaza fomu na kutangaza nia.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

HAWA NDIO WASANII WATAKAOGOMBEA UBUNGE KUPITIA CHADEMA


Hii tabia ya CHADEMA kutumia wasanii wa bongo fleva & movie kisiasa ni upunguani wa hali ya juu sana.Iweje leo hii kisa tu chama kinataka ruzuku ya kutosha kione ni vyema na sawa kuokota tu vijana wasio kuwa na maadili kutoka kwenye tasnia za muziki na movie na kuwanadi ili wawakilishe wananchi bungeni!? Huu ni wehu na kukosa kufikiri!
CHADEMA wamezindua mpango uitwao "Kujaa bungeni kivyovyote" na haya ya kujaza wasanii ndio mkakati wa kufanikisha mpango huo!
Kwa taarifa sahihi kutoka CHADEMA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani