Wasanii hawa wamepeta Uchaguzi Mkuu 2015
Wakati fomu za ushiriki wa urais, wabunge, viti maalumu na udiwani zilipoanza kutolewa, wengi walijitokeza kushiriki kwa kujaza fomu na kutangaza nia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0Ig35w*KVE7ztxuxoSowY8EtDlhgx15k4oe6Ambc1nfvu9LWpMOHzFn-bZSVkOYjgQ1NW54XfkKstel4sZ8wiP/BACKMIZENGWE.jpg)
UCHAGUZI MKUU 2015 WASANII BONGO WANAUZUNGUMZIAJE?
10 years ago
Dewji Blog18 May
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Wasanii waombea amani Uchaguzi Mkuu
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Kampeni ya wasanii kuhusu vijana na uchaguzi 2015
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mKGY_qnHkyY/VioKzY3E0_I/AAAAAAAIB6g/PNpZOBLbHI0/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA YA MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 25, 2015 MKOANI DODOMA
Mkoa wa DodomaAnwani ya Simu REGCOMSimu Nambari: 2324343/2324384E-Mail No. ras@dodoma.go.tzFax No. +255 026 2320046
![](http://4.bp.blogspot.com/-mKGY_qnHkyY/VioKzY3E0_I/AAAAAAAIB6g/PNpZOBLbHI0/s1600/New%2BPicture.png)
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, S.L.P. 914, DODOMA.
Ndugu wananchi wa Mkoa wa Dodoma, tarehe 25 Oktoba, 2015 ni siku ya Uchaguzi Mkuu hapa nchini; ambapo, Watanzania wale wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha, watapata...
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Fainali uchaguzi mkuu 2015
Na Mwandishi Wetu
NI fainali, ndivyo unavyoweza kusema kwa wakati huu ambao zimebaki saa 24 kwa wagombea wa nafasi ya urais, ubunge na udiwani kutupa kete yao ya mwisho leo kwa ajili ya kunadi sera zao na kuwashawishi Watanzania ili wawapigie kura kesho.
Vyama viwili kati ya vinane vilivyosimamisha wagombea wake wa nafasi ya urais vinavyochuana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/N9SP9Z4W-Dcb9tWU*4AOWpjws4dFshXDt9YyW9NexzPJOOboc5cw6t5BISPIp76mDXlGtSLua5u6zUipWM9DTxf9aD30Ae6N/MizengoPinda.jpg?width=650)
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015