Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni ya wasanii kuhusu vijana na uchaguzi 2015

Kampeni ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya inayoitwa ‘Tuonane Januari’ inazidi kupamba moto na wiki hii jumla ya wasanii 10 watapanda jukwaa moja jijini Mwanza kwa kazi moja tu, kuwaambia vijana wenzao kushiriki katika zoezi la kujiandikisha daftari la wapiga ili kuleta mabadiliko katika uchaguzi wa mkuu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu.  Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii hawa wamepeta Uchaguzi Mkuu 2015

Wakati fomu za ushiriki wa urais, wabunge, viti maalumu na udiwani zilipoanza kutolewa, wengi walijitokeza kushiriki kwa kujaza fomu na kutangaza nia.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU 2015 WASANII BONGO WANAUZUNGUMZIAJE?

Laurent Samatta
Habari ya mjini kwa sasa ni Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015 ambapo Watanzania wote watatumia haki yao ya msingi ya kupiga kura, kuwachagua viongozi wanaowataka. Showbiz Plus imewatafuta wasanii wa tasnia tofauti Bongo na kuwauliza mtazamo wao juu ya uchaguzi huo na hali ya upepo wa kisiasa Bongo ambapo wamefunguka kama ifuatavyo: MRISHO MPOTO ‘MJOMBA’
...

 

9 years ago

Michuzi

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kampeni za uchaguzi UKAWA 29August 2015 Jamgwani

The post Kampeni za uchaguzi UKAWA 29August 2015 Jamgwani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

FID -Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI WA NCHI 2015

Msanii wa Hip hop, Farid Kubanda 'Fid Q' akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari juu ya kampeni yake aliyozindua maalumu kwa kuwahamasisha vijana wa Tanzania kushiriki kikamilifu kwenye mchakato wa kuchagua viongozi wa nchi mwaka 2015, huku akiwataka kuachana na kulalamikia viongozi wanaokuwepo madarakani wakati muda wa kupiga kula ukifika wao hawashiriki kikamilifu. Fid -Q (katikati) akiwa na… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani