TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s72-c/index.jpg)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s72-c/c.png)
NEWS ALERT: VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s640/c.png)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kuwa kuanzia leo tarehe 10 Septemba 2015, na katika kipindi chote cha kampeni za uchaguzi mkuu 2015, watu ambao sio wagombea wa udiwani, ubunge, urais, wasemaji rasmi wa vyama au watu wasioteuliwa na vyama vya siasa kama wawakilishi hawataruhusiwa kushiriki katika vipindi vya moja kwa moja (Live Programmes) vinavyohusu shughuli za uchaguzi vitakavyorushwa na vituo vya utangazaji.
Utaratibu huu unazingatia Kanuni Za Huduma Za...
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
TCRA yatoa ufafanuzi juu ya tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari Septemba 11
Taarifa kwa Vyombo vya Habari_13_09_2015.pdf
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Oct
TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015
http://zec.go.tz/en/?p=1673
The post TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Taarifa kwa umma kupitia vyombo habari kuhusu vikao vya kamati za Bunge kuanza tarehe 13 — 23 Januari 2015
Mwito kwa kamati 2015.docx by moblog
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s72-c/CCM%2BLOGO.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM KUHUSU KUFUNGA KAMPENI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s320/CCM%2BLOGO.png)
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM Kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi watakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-NLCW3VOXZOM/Vn1ouIecs9I/AAAAAAAAXg8/vo_-s6kqVKY/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU MIKUTANO YA HADHARA
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
NEC yavishukuru vyombo vya habari kwa coverage nzuri ya Uchaguzi Mkuu 2015
Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emanuel Kavishe.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kavishe naye akitoa pongezi kwa wanahabari kwa kutangaza vizuri matukio ya uchaguzi...