NEC yavishukuru vyombo vya habari kwa coverage nzuri ya Uchaguzi Mkuu 2015
Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emanuel Kavishe.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kavishe naye akitoa pongezi kwa wanahabari kwa kutangaza vizuri matukio ya uchaguzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM BlogNEC YAVISHUKURU VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI NZURI YA KUHABARISHA UMMA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2015
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Oct
TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015
http://zec.go.tz/en/?p=1673
The post TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015 appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s200/index.jpg)
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
TCRA yatoa angalizo kwa vyombo vya Habari utangazwaji matokeo ya uchaguzi mkuu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya. Mawasiliano Tanzania, (TCRA), Dk. Ally Yahaya Simba.
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari_ Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UCDn4nJy3wo/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mkurugenzi-wa-Idara-ya-Habari-MaelezoAssah-Mwambene-kulia-akizungumza-na-wanahabari..jpg)
SERIKALI YATAHADHARISHA VYOMBO VYA HABARI NA MATOKEO BATILI YA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
RC Arusha aviomba vyombo vya habari kusaidia uchaguzi mkuu kuwa wa amani
Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda.
Na Woinde Shizza, Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda, amevitaka vyombo vya habari nchini kusaidia uchaguzi mkuu mwaka huu umalizike kwa amani na utulivu ili Tanzania iendelee kuwa na sifa ya amani Barani Afrika.
Akizungumza katika tamasha la 10 la vyombo vya habari mkoani hapa, lililowashirikisha wanahabari kutoka mkoa wa Arusha, Manyara na jijini Dar es Salaam, Ntibenda, alisema vyombo vya habari ni wadau wakubwa wa amani na...
9 years ago
MichuziPROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
TCRA yatoa mwongozo wa uchaguzi kwa vyombo vya habari