Mgambo yawapigia ‘pushapu’ Mtibwa
KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amesema kwa sasa wanajipanga kwa mechi yao dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro itakayochezwa Jumamosi wakitaka kushinda kuzidi kujiweka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Magufuli aibuka na pushapu
*Asema ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya kweli
Na Bakari Kimwanga, Karagwe
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ametoa mpya baada ya kuibuka na staili mpya ya kuomba kura kwa mtindo wa kupiga pushapu akiwa jukwaani.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuomba kura, huku akisema ana nguvu za kuwatumikia kwa dhati na kuomba aoneshe jukwaani kama ana nguvu kweli.
Dk. Magufuli aliibuka na mtindo huo jana katika mkutano wake wa pili wa kampeni mjini Kagarwe mkoani...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Pushapu za Magufuli zahamia Ligi Kuu
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga JerryTegete, amesema aina ya ushangiliaji wao wa timu yake ya Mwadui FC waliouonesha juzi walipocheza na Yanga, wameuiga kwa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliyekuwa akipiga pushapu katika baadhi ya mikutano yake.
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVZNFH16fgRk3QwnrgAxJhqOqsIWPvJdrAJsy2mrSr7k5d0ZknscxjQ306QCp7Kp4HwWRLhIH9tMOhxQfVh5qEB/pushap.jpg?width=650)
STAILI YA ‘PUSHAPU’ YA MAGUFULI YASHIKA KASI!
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Kila mtu akipiga ‘pushapu’, uchumi wetu utapaa
NIMESOMA kwa makini maelezo ya mwandishi Ben Saanane kwenye matoleo yaliyopita ya gazeti hili.
Ezekiel Kamwaga