Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgambo yawapigia ‘pushapu’ Mtibwa

KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amesema kwa sasa wanajipanga kwa mechi yao dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro itakayochezwa Jumamosi wakitaka kushinda kuzidi kujiweka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aibuka na pushapu

g2*Asema ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya kweli

Na Bakari Kimwanga, Karagwe

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ametoa mpya baada ya kuibuka na staili mpya ya kuomba kura kwa mtindo wa kupiga pushapu akiwa jukwaani.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuomba kura, huku akisema ana nguvu za kuwatumikia kwa dhati na kuomba aoneshe jukwaani kama ana nguvu kweli.

Dk. Magufuli aliibuka na mtindo huo jana katika mkutano wake wa pili wa kampeni mjini Kagarwe mkoani...

 

9 years ago

Habarileo

Pushapu za Magufuli zahamia Ligi Kuu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga JerryTegete, amesema aina ya ushangiliaji wao wa timu yake ya Mwadui FC waliouonesha juzi walipocheza na Yanga, wameuiga kwa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliyekuwa akipiga pushapu katika baadhi ya mikutano yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia

Wanaume kadhaa wa eneo la Sirari, jana walishindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan baada ya kuvutiwa na sera zake.

 

9 years ago

GPL

STAILI YA ‘PUSHAPU’ YA MAGUFULI YASHIKA KASI!

Dustan Shekidele, Morogoro  Jambo limezua jambo! Staili ya kupiga ‘pushapu’ iliyoasisiwa na mgombea wa nafasi ya urais kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli ‘JM’ alipokuwa akijinadi kwenye kampeni zake katika Viwanja vya Kayanga wilayani Karagwe, Kagera hivi karibuni inazidi kushika kasi kila kona ya nchi. Staa wa filamu Ray akipiga Push up na wasanii wenzake. Wakiwa mkoani hapa wikiendi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kila mtu akipiga ‘pushapu’, uchumi wetu utapaa

NIMESOMA kwa makini maelezo ya mwandishi Ben Saanane kwenye matoleo yaliyopita ya gazeti hili.

Ezekiel Kamwaga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani