Magufuli aibuka na pushapu
*Asema ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya kweli
Na Bakari Kimwanga, Karagwe
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ametoa mpya baada ya kuibuka na staili mpya ya kuomba kura kwa mtindo wa kupiga pushapu akiwa jukwaani.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuomba kura, huku akisema ana nguvu za kuwatumikia kwa dhati na kuomba aoneshe jukwaani kama ana nguvu kweli.
Dk. Magufuli aliibuka na mtindo huo jana katika mkutano wake wa pili wa kampeni mjini Kagarwe mkoani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Oct
Pushapu za Magufuli zahamia Ligi Kuu
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga JerryTegete, amesema aina ya ushangiliaji wao wa timu yake ya Mwadui FC waliouonesha juzi walipocheza na Yanga, wameuiga kwa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliyekuwa akipiga pushapu katika baadhi ya mikutano yake.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVZNFH16fgRk3QwnrgAxJhqOqsIWPvJdrAJsy2mrSr7k5d0ZknscxjQ306QCp7Kp4HwWRLhIH9tMOhxQfVh5qEB/pushap.jpg?width=650)
STAILI YA ‘PUSHAPU’ YA MAGUFULI YASHIKA KASI!
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-z6LQdPBQj0o/VjIrrcTaCKI/AAAAAAAA018/pwR6FKs4UU8/s72-c/matokeoooo.png)
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mgambo yawapigia ‘pushapu’ Mtibwa
KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amesema kwa sasa wanajipanga kwa mechi yao dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro itakayochezwa Jumamosi wakitaka kushinda kuzidi kujiweka...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Washindana kupiga ‘pushapu’ mbele ya Samia
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Kila mtu akipiga ‘pushapu’, uchumi wetu utapaa
NIMESOMA kwa makini maelezo ya mwandishi Ben Saanane kwenye matoleo yaliyopita ya gazeti hili.
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-7662m3XNPQhhhT9bmqQ60dr6ErFvrlOUq-kiXAL7SVxREa*GiFlLeg013OaKm7Y6tfNKzpIocKL11Zly6C2bhn/kajala.jpg?width=650)
KAJALA AIBUKA...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Dudubaya aibuka na ‘Wakaka’
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’, ameibuka na ngoma yake mpya aliyoipa jina la ‘Wakaka’. Dudubaya alishawahi kutamba na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pMeJwdpRKqsdau-scaCgWFsdowSpVD0Ba4KFmq*ZO3N8MX77aY-ln*m7fxKPvblzVOQVxHwCqtV2pz4csa65RP/kijana.jpg)
KIJANA APOTEA AIBUKA...