Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kila mtu akipiga ‘pushapu’, uchumi wetu utapaa

NIMESOMA kwa makini maelezo ya mwandishi Ben Saanane kwenye matoleo yaliyopita ya gazeti hili.

Ezekiel Kamwaga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tusimlaumu mtu ni U-Tomaso wetu

NIANZE makala yangu kwa kunukuu maandiko matakatifu yaliyo ndani ya Biblia katika kitabu cha Yohana 20: 25-29: “Basi wanafunzi wengine wakamwambia tumemuona Bwana. Akawaambia mimi nisipoziona mikononi mwake kovu za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

“Obutula” ni hatari kwa uchumi wetu

“OBUTULA” ni neno la Kihaya/Kinyambo/Kinyankole, maana yake ni mkopo unaolipwa kwa mali na si  kwa fedha. Mkopo wenyewe unaweza kuwa wa fedha au mali, lakini wakati wa kulipa mtu analipa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ulevi na uvutaji ndiyo mihimili ya uchumi wetu?

NIMEJIWA na wazo kwamba neno la tahadhari kwenye sigara na matangazo ya bidhaa hiyo lisemalo “uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako” ni la kuondoa kabisa. Sababu kwa maana...

 

10 years ago

GPL

AIBU ILIYOJE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO NA WAANDISHI WETU

Na Waandishi Wetu NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha. Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo. Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania

Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Jukumu la kulea yatima ni la kila mtu’

JUKUMU la malezi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu nchini linapaswa kutekelezwa na kila Mtanzania pamoja na taasisi mbalimbali nchini ili kupunguza wimbi la wananchi tegemezi.

 

9 years ago

Michuzi

JE KILA UNACHOKUBALIANA NA MTU NI MKATABA KISHERIA ?

Na  Bashir  Yakub

Makubaliano  ni  sehemu  ya  maisha  yetu  ya  kila  siku.  Shughuli  zetu  za  kila siku  hutegemea  makubaliano.   Ukimkuta  mtu  anabeba  zege  kwa  ajili  ya  ujenzi  yupo  katika  makubaliano. Ukimkuta  mtu  anaendesha  daladala, bodaboda   yupo  katika  makubaliano. 

Ukimkuta  mtu  katika  ofisi  yoyote  ya  umma  yupo katika  makubaliano,walio kwenye  ndoa  na  uchumba nao  ni  makubaliano,  mfanyakazi  wa  ndani  yupo katika  makubaliano.  Aliyechukua  mkopo, ...

 

5 years ago

Michuzi

UCHUMI WA NCHI NI IMARA UNAKUA KILA MWAKA

IMEELEZWA kuwa Benki kuu ya Tanzania imeendelea Kuhakikisha inatoa Fedha kuendana na ukuaji wa uchumi nchini, na hiyo ni pamoja na kuangaalia Fedha iliyopo inaendana na kasi ya ukuaji uchumi wa nchi ambao unakua kila mwaka.

Akizungumza wakati wa semina kwa waandishi wa habari kuhusiana na Uchumi na Fedha , Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti za Uchumi BoT, Dkt. Suleiman Misango amesema kuwa uchumi wa nchi unakua kila mwaka na kwa kipindi cha mwaka 2018 uchumi ulikua kwa asilimia 7 na kwa mwaka...

 

5 years ago

CCM Blog

KUANZIA JUMATATU KILA MTU AVAE MASK

  Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda ameagiza kuwa mtu yeyote anayeenda katika eneo lolote la manunuzi lazima awe amevaa Barakoa (mask)

Amesema haijalishi ila lazima watu wavae Barakoa “Ununue, ukate kanga, ukate leso na utafute rubber bands. Lazima uwe umevaa Barakoa”

Aidha, ameagiza kuwa kuanzia Jumatatu biashara zote zifanyike kwa mfumo wa ‘take away’ yaani ufike sehemu ya kununua bidhaa, nunua na ondoka

Pia, amewataka watu kuhakikisha wanakaa umbali wa mita 2 kila wakiwa eneo la msongamano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani