WLAC YAENDESHA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI KUPIGA KURA KWA WANAWAKE WALIO KATIKA MAKUNDI MAALUMU
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo Nshala, akizungumza na wanahabari katika kongamano hilo.
Mwanaharakati wa masuala ya haki za binadamu, Gema Akilimali, akitoa mada kwenye kongamano la uhamashaji upigaji kura lililofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kongamano hilo liloandaliwa mahususi kwa watu wa kundi maalumu liliandaliwa na Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC)
Mmoja wa washiriki wa kongamano hilo, Kuruthum Dindili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara, yaendesha kongamano la uhamasishaji wa mpango wa Kikoa kwa wajasiriamali
10 years ago
Michuzi16 Mar
ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i4iR9vOOW3YeOH4gJT1gYgLFF22DCwRyTTiRC94t9DT_eJ1GbD9XICz8M6zxPV5uJExGnXy10NJVa3W8JdjDxI2Z0ETlATOxqMPyZFxSw5d6CHR0xKU6bLYU9GNiiJQNCKolxq-hwSi1yHklH_VU0WsiqmEluTVEol_9inB14tBXelTaKC0oh4GZVObp5dFepJfS0p_IyZ5XK25d4asRTFANbGrh9SNEG-IdQqTIv6Wi1C7njaPPYAYlrb7GvJTCioHK5WkTk8i1v4Jgkg5nAP1PP75oPjTJxtOEw2hoF0oWYEFltx5Zm_-3yOrhU4qymUf7tHIfWji3BFTSet0q7g=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-8OGySkdrsso%2FVQbpwLC1U2I%2FAAAAAAAAH2A%2FtUrIt48b7jY%2Fs1600%2Fmwalongo.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian, na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q33DlcjARtE/UxoD1XnnS7I/AAAAAAAFRz0/QQr8BWaLbwU/s72-c/8.jpg)
WILDAF yaendesha Mkutano kwa Wadau wake wa Kupiga Vita Ukatili Dhidi ya wanawake nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-q33DlcjARtE/UxoD1XnnS7I/AAAAAAAFRz0/QQr8BWaLbwU/s1600/8.jpg)
9 years ago
Michuzi04 Oct
WANAWAKE JITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA - MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu
Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.
Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Samia atumia kongamano la wanawake kupiga kampeni
9 years ago
Habarileo17 Oct
Wanawake wahamasishwa kupiga kura
SHIRIKA lisilo la kiserikali ya Woman Wake Up (Wowap) limewataka wanawake wote kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka ambao watajali maslahi yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjhkoxQtdwM/XvGMSKphE9I/AAAAAAALvAw/hkWRIMl9X2cm7AvakInSSJomQA8FpIRPQCLcBGAsYHQ/s72-c/105275251_10158442040819722_4304338084191711700_n.jpg)
MAFUNZO YA UHAMASISHAJI NA WAELIMISHAJI WA MTANDAO WA WANAWAKE KATIKA JESHI LA MAGEREZA NCHINI YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Na Sajini Taji, Shani Mhando, Morogoro
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto Bi.Mboni Mgaza amepongeza kuanzishwa kwa mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza nchini.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza jana Mkoani Morogoro, Bi Mboni amesema, hii ni hatua nzuri sana yakupongezwa kwa Jeshi hilo kwani itahakikisha wanawake katika nyanja zote wanatumia fursa...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
NHC yaendesha kongamano na kuwataka watendaji wake kuongeza ubunifu katika kazi zao