WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Meneja Uhusiano wa Umma wa
Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata taarifa hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wEXQpFAUL6AtfKMjBRCUiPAPD8VcqF*RURVMIQH1B7lx-IYRI3xEDZklkz*xt2pwM4vIR48uAtnV7mywu-wdTBV/matina.jpg?width=650)
WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZL7CIpLfRs0S*xYqolCdU0fNcAuaU9HOB5m2H*6q4ZnAGpFR4bzJ33kQCwteH3UlJ97jWmuyxS*rQ38sPLwwec/10303947_791575564208650_3045875208815360971_n.jpg?width=650)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gMc1auhAO6CNwDTzERm7Q4SsITnRrxRrVmZ760WMankpqrtACuBhqFInLLOqJo5C5D0eSp5sDIutnC3-EY5YRj/9copy.jpg?width=750)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NI082Wc-Gc/XmN4fLYwgoI/AAAAAAALhsQ/WTDnRBV2vxo_WElcwyd7pGXY3fJQkTVoQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19-2048x1365.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa hamasa kwa vijana kuijua Teknolojia ya Habari kupitia mradi wa Code Like A Girl
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NI082Wc-Gc/XmN4fLYwgoI/AAAAAAALhsQ/WTDnRBV2vxo_WElcwyd7pGXY3fJQkTVoQCLcBGAsYHQ/s640/1-19-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/4-14-scaled.jpg)
11 years ago
MichuziVodacom yahamishia Habari za Michezo viganjani
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-02oMoMeedSo/VflyJKDwVXI/AAAAAAAAIFU/btL4Aa5I2hs/s72-c/SIMBA%2BNEWS%2Bvoda-03.png)
Habari za Simba kupatikana kupitia mtandao wa Vodacom
![](http://3.bp.blogspot.com/-02oMoMeedSo/VflyJKDwVXI/AAAAAAAAIFU/btL4Aa5I2hs/s640/SIMBA%2BNEWS%2Bvoda-03.png)
Klabu ya soka ya Simba kwa kushirikiana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania leo zimezindua huduma mpya inayojulikana kama ‘Pata habari za klabu ya Simba’ ambayo itawawezesha wateja wanaotumia mtandao wa Vodacom kupata habari zinazohusiana na klabu ya Simba popote watakapokuwa hapa nchini.
Kampuni nyingine shirika katika kufanikisha huduma hii ni Premier mobile solution na EAG Group.Huduma hii mpya ya ‘Pata habari za klabu ya Simba’ni rahisi na ya ufanisi mkubwa kuwawezesha wateja...
11 years ago
GPLVODACOM YAHAMISHIA HABARI ZA MICHEZO VIGANJANI