Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIUNGE NA MICHEZO KIGANJANI TUMA NENO SPORTS KWENDA NAMBA 15778

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania

Meneja Uhusiano wa Umma wa
 Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla   wanaendelea kupata habari za soka  zinazohusiana na   ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma  maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata  taarifa  hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

GPL

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akiongea na wanahabari kuhusu huduma ya michezo kiganjani . -Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari
-Ni kupitia Vodacom Tanzania WADAU wa soka nchini na wateja wa Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na   Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara(VPL), Ligi Kuu ya Uingereza, na masuala mengine mengi yanayohusiana na burudani...

 

10 years ago

Michuzi

TUMESHERIA SPORTS CLUB YAAGWA KWENDA KUSHIRIKI SHIMIWI MOROGORO

Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akizungumza na wanamichezo wa TUMESHERIA Sports Club watakaoshiriki mashindano ya SHIMIWI Morogoro. Wanamichezo wa TUMESHERIA Sports Club wakimsikiliza Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa (hayupo pichani) wakati wa kuagwa kwenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI mkoani Morogoro. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Tume Bw. Peter Kalonga akizungumza wakati wa kuwaaga watumishi wa Tume watakaoshiriki mashindano ya SHIMIWI...

 

10 years ago

Michuzi

Milla Sports Club a.k.a. Berlin ya Temeke yakabidhiwa vifaa vya michezo

 Timu ya Milla Sports Club ya Temeke maarufu kama Berlin imeadhimisha siku yake ya Milla Day katika hafla ambayo pia walikabidhiwa  vifaa vya michezo Jersey na mipira ili kusaidia timu hiyo iweze kushiriki ligi ya soka Wilaya ya Temeke. Timu hii ya Berlin imezalisha wanamichezo na viongozi wengi maarufu wa soka nchini. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo MJUMBE wa NEC Ndg. Phares Magesa akitoa msaada huo wa vifaa vya michezo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani