Milla Sports Club a.k.a. Berlin ya Temeke yakabidhiwa vifaa vya michezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-fmp3pjWojho/VHJ7sbPCQiI/AAAAAAAGzEE/JF3PLCT6ZII/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Timu ya Milla Sports Club ya Temeke maarufu kama Berlin imeadhimisha siku yake ya Milla Day katika hafla ambayo pia walikabidhiwa vifaa vya michezo Jersey na mipira ili kusaidia timu hiyo iweze kushiriki ligi ya soka Wilaya ya Temeke. Timu hii ya Berlin imezalisha wanamichezo na viongozi wengi maarufu wa soka nchini. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo MJUMBE wa NEC Ndg. Phares Magesa akitoa msaada huo wa vifaa vya michezo
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
Viongozi wa Kampuni ya Bantu Sports And Fitness Enterprise, wakipanda mti wakati wa Uzinduzi wa Kampuni hiyo iliyoambatana na utoaji wa Msaada wa Vifaa vya Michezo na vya mafunzo ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na kutunza mazingra katika Shule ya Sekondari Miono na Kikaro zilizopo Chalinze Mkoa wa Pwani. Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kevin William na Alex Mode wa Shule ya Kikaro wakichuana kuwania...
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Akn9Mxmr_hQ/U1qJbb066qI/AAAAAAAFdAs/1GzUrTL5uHo/s72-c/unnamed+(39).jpg)
TEMEKE FAMILY & SPORTS CLUB KUANDAA TAMASHA 4 MEI DAR LIVE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Akn9Mxmr_hQ/U1qJbb066qI/AAAAAAAFdAs/1GzUrTL5uHo/s1600/unnamed+(39).jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh. Dk. Fenella Mukangara (wa pili kushoto)akikabidhi moja ya vifaa vya michezo kwa mwanafunzi wa shule ya sekondari Kibasila, Simon Nungu (kulia)Vifaa hivyo vya michezo vilivyotolewa na Vodacom Tanzania kwa ajili ya mashindano ya michezo mbalimbali itakayoanza hivi karibuni na kuzihusisha shule za sekondari kumi na mbili(12)za jijini Dar es Salaam.Wanaoshuhudia makabidhiano...
10 years ago
GPLOFISI YA BUNGE YAKABIDHIWA NA SERIKALI YA CHINA MSAADA WA VIFAA VYA TEHEMA VYENYE TAHAMNI YA DOLA ZA KIMAREKANI LAKI MOJA
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akipokea kutoka kwa Balozi wa China hapa Nchini Mhe. Dkt. LU Youquing baadhi ya Vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa serikali ya China kwa ajili ya kusaidia shughuli za Bunge. Vifaa hivyo vyenye thamani ya Dola za Kimarekani laki moja vimekabidhiwia leo katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Spika jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda… ...
5 years ago
MichuziMANISPAA YA TEMEKE YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
...
11 years ago
MichuziAirtel yakabidhi vifaa vya michezo
Airtel Tanzania Jana Alhamis Julai 24, 2014 imekabidhi vifaa vya michezo kwa timu 18 za wavulana zinazoshiriki...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania